Speech za Idd Amin Dada: Andaa spea za mbavu zako!

Speech za Idd Amin Dada: Andaa spea za mbavu zako!

Huyu jamaa alikuwa kiboko!!!

Idi Amin, president of Uganda, as quoted in Newsweek 12 March 1973.

"Sometimes people mistake the way I talk for what I am thinking. I never had any formal education -- not even nursery school certificate. But, sometimes I know more than Ph.D.'s because as a military man I know how to act, I am a man of action."

Hii imenifurahisha sana mkuu pamoja na hiyo ya yeye kutokutawaliwa na any super power!
 
Halafu kutokana na speech hiyo ya rais wetu bila aibu wako watu wanamsifi. Ninachoona ni maneno ya Kiingereza yaliwekwa pamoja ambayo hayana mvuto. Ingekuwa heri angejibu kwa Kiswahili halafu ikatafsiriwa. Dah! Nimekubali kama mara kwa mara huzungumzi kudhungu kinaweza kukupiga chenga tena mbele za watu.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Halafu kutokana na speech hiyo ya rais wetu bila aibu wako watu wanamsifi. Ninachoona ni maneno ya Kiingereza yaliwekwa pamoja ambayo hayana mvuto. Ingekuwa heri angejibu kwa Kiswahili halafu ikatafsiriwa. Dah! Nimekubali kama mara kwa mara huzungumzi kudhungu kinaweza kukupiga chenga tena mbele za watu.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums

hiyo speech ya mkuu wa kaya ilitia aibu sana na vicheko vingi visivyokuwa na sababu!
 
Linganisha na hii ya Raisi wenu: Ithink the... the issue of satisfied with MCC should have com... should have been asked me.

Kikoloni soo mkuu, hii inatuambia kuwa, inabidi watoto wetu tuwapeleke shule za maana sana za kidhungu!.
Sipati picha Lowassa akiwa Rais, manake pia ni mwenzangu na mimi kwenye ngeli! Ila Kayanza Peter Pinda anakipiga!
 
"Sometimes people mistake the way I talk for what I am thinking. I never had any formal education -- not even nursery school certificate. But, sometimes I know more than Ph.D.'s because as a military man I know how to act, I am a man of action."

Huyu jamaa kweli alikuwa jasiri haogopi kutumia lugha asiyoielewa vizuri kwa wale aliojua akitumia lugha yake hawataelewana. Kwa kulijua hilo labda ndo maana aliamua kuwaambia hayo maneno kuwa wakati mwingine kwasababu ya kutojua vizuri kiingerezaya anaeleweka vibaya. Akatoa sababu ni kwanini hakijui. Hiyo si courage ndogo, inahitaji mtu mwenye kujiamini. Na hasa kwa wakati huu ambapo wengi wanadhani kuongea kiingereza ndo kuelimika. Kuonekana msomi.



"I do not want to be controlled by any superpower. I myself consider myself the most powerful figure in the world, and that is why I do not let any superpower control me."

Kudhihilisha kuwa yeye si mnyonge akaamua kutoa na hiyo. Nadhani walimwelewa.
Hahahahahaha. Alikuwa anatwanga tu tutaelewana mbele kwa mbele.
 
Linganisha na hii ya Raisi wenu: Ithink the... the issue of satisfied with MCC should have com... should havebeen asked me.

Ndo maana wanakimbia midahalo kabla ya uchaguzi, haya ni maajabu ya 2013. Leo nimepata ukweli kwa nin gazeti la Mwanahalisi lilifungiwa.
 
Kama alisema hivyo huyu jamaa ni jembe la africa, hakuna kuongea kiingereza kama kwamba mtumwa wa kudumu, ongea hovyo hovyo hivyo hivyo, kwani wao nani rais kaja kwetu kaongea kiswahili kuhutubia???
 
IDD AMIN SPEECH TO THE QUEEN


"My majesty Mr. Queen Sir, horrible ministers and members of parliament, invented Guests, ladies under gentlemen. I hereby thank you completely…..Mr. Queen, sir; and also what he has done for me and my fellow Uganda who come with me.

We have really eaten very much. And we are fed up completely:And also very thanks to you keenly open up from all windows: so that those plenty climates can come into lunch. But before I go back to my country with a plane from the Entebbe airport of London I wish to invitation you Mr. Queen, to become home to Uganda so that we can also revenge on you .

You will eat a full cow:and also feel up your stomach and walk with difficult because of full stomach completely. Even when you want to rest at night; I will make sure that you sleep on top of me in the top up stairs of my mansion completely so that you can enjoy all the gravity of fresh air.

"But now am sorry because I have to tell you that I have made a shortcall on you only. But next time I shall make a long call on you to last the whole moon completely. Thank you very much to allow me to undress you completely before these extinguished ladies undergentlemen sir.

Lastly but not list, I ask the band to play our international anthem of the republic of Uganda and also the British international anthem..Your majesty sir, I thank you from the bottom of my heart and from thebottoms of all the people of Uganda .

With this few words I thank you Sir.

Is this serious? hahahaha yaani imenivunja mbavu
 
Back
Top Bottom