Ni utani tuu ila zinataka kufanana na ukweli kidogo. Huyu alikuwa Kamanda mpiganaji. Hebu icheki hii ambayo ni ya kweli How to lead in Africa.flv - YouTubeMkuu MTAZAMO hivi hizi speech ni za kweli au kuna kikundi cha watu walikuwa wanataka kuwachekesha dunia.
Huyu jamaa alikuwa kiboko!!!
Idi Amin, president of Uganda, as quoted in Newsweek 12 March 1973.
"Sometimes people mistake the way I talk for what I am thinking. I never had any formal education -- not even nursery school certificate. But, sometimes I know more than Ph.D.'s because as a military man I know how to act, I am a man of action."
Halafu kutokana na speech hiyo ya rais wetu bila aibu wako watu wanamsifi. Ninachoona ni maneno ya Kiingereza yaliwekwa pamoja ambayo hayana mvuto. Ingekuwa heri angejibu kwa Kiswahili halafu ikatafsiriwa. Dah! Nimekubali kama mara kwa mara huzungumzi kudhungu kinaweza kukupiga chenga tena mbele za watu.
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
Wakuu, mi naona speech za huyu jamaa zilikuwa na mashiko kuliko za Jamaa yetu, is see a real patriot in him.
Huyo ndio Idd Amin Dada!!!
watu8 Asprin Mtambuzi Paloma Kipaji Halisi mi mr amu am full with laughing cc_ Mentor Filipo Arushaone Kaizer Heaven on earth Mrembo by Nature
Linganisha na hii ya Raisi wenu: Ithink the... the issue of satisfied with MCC should have com... should have been asked me.
Alimwambia Nyerere...... "U ARE SO BEAUTIFUL"
Kirangawatu8 Asprin Mtambuzi Paloma Kipaji Halisi mi mr amu am full with laughing cc_ Mentor Filipo Arushaone Kaizer Heaven on earth Mrembo by Nature
Mkuu kuna kitabu kinaitwa State of Blood,inside story of Idi Amin kilichoandikwa na Herny Kyemba.
Wakuu, mi naona speech za huyu jamaa zilikuwa na mashiko kuliko za Jamaa yetu, is see a real patriot in him.
"Sometimes people mistake the way I talk for what I am thinking. I never had any formal education -- not even nursery school certificate. But, sometimes I know more than Ph.D.'s because as a military man I know how to act, I am a man of action."
"I do not want to be controlled by any superpower. I myself consider myself the most powerful figure in the world, and that is why I do not let any superpower control me."
Linganisha na hii ya Raisi wenu: Ithink the... the issue of satisfied with MCC should have com... should havebeen asked me.
Loh!! Si bora angeongea kiswahili akatafuta mkalimani!Linganisha na hii ya Raisi wenu: Ithink the... the issue of satisfied with MCC should have com... should havebeen asked me.
Una maana gani?Must be Madi!
IDD AMIN SPEECH TO THE QUEEN
"My majesty Mr. Queen Sir, horrible ministers and members of parliament, invented Guests, ladies under gentlemen. I hereby thank you completely ..Mr. Queen, sir; and also what he has done for me and my fellow Uganda who come with me.
We have really eaten very much. And we are fed up completely:And also very thanks to you keenly open up from all windows: so that those plenty climates can come into lunch. But before I go back to my country with a plane from the Entebbe airport of London I wish to invitation you Mr. Queen, to become home to Uganda so that we can also revenge on you .
You will eat a full cow:and also feel up your stomach and walk with difficult because of full stomach completely. Even when you want to rest at night; I will make sure that you sleep on top of me in the top up stairs of my mansion completely so that you can enjoy all the gravity of fresh air.
"But now am sorry because I have to tell you that I have made a shortcall on you only. But next time I shall make a long call on you to last the whole moon completely. Thank you very much to allow me to undress you completely before these extinguished ladies undergentlemen sir.
Lastly but not list, I ask the band to play our international anthem of the republic of Uganda and also the British international anthem..Your majesty sir, I thank you from the bottom of my heart and from thebottoms of all the people of Uganda .
With this few words I thank you Sir.