Speech za Idd Amin Dada: Andaa spea za mbavu zako!

Halafu tusivyojiamini utakuta viongozi wengi wa jeshi walioenda shule walikuwa wanatekeleza amri zake. Afrika iko kazi.
 



The problem with Tanzanians...they believe everything and anything!!

That is not true, Idd Amin whom we know speaks simple and fluent English...what you are perusing now is just jokes!!!

check him in utubes


FYI Ugandans speak nice and fluent english more than any countries in east african regions...second country is malawi
 
Wale wale mahodari wa kuandika English kwenye keyboard mkifanyiwa interview mavi debe.

Katika thread hii hakuna kitu anachopakaziwa Idd Amin mimi nimeangalia documentary zake na kuzirudiarudia na siyo fake.

Kitu kimoja tu alichokuwa anafanya Idd Amin style yake ya kuongea kingereza hakutaka wala kupenda kuiga lafudhi ya wazungu, yeye alichukulia kingereza kama lugha tu ya kuwasiliana na wengine waelewe ni anachotaka kusema.

Angalia Mganda mwenzake wa VOA staright talk Afrika, huyu Shaka Sali licha ya kwamba anaishi Marekani na anaongea kingereza fasaha lakini ameamuwa kwa makusudi kubaki na lafudhi ya kwao kama ile ya Idd Amin, na siyo kujishauwa kama Laurence Masha.
 
Hapo ngoma draw Idd na Jk nilizani mimi ndo sijui lugha kumbe wengine mlinote
 


si kweli!
 
mdau nimecheka mpka basi yahani nimeonekana chizi ofisini "ladies under gentlemen"


:lol:
 
Hebu tuweke wazi kaka maana nimewahi kuona docmentary ya kweli ya Idd Amini mbona anakingereza kizuri tu hebu tuweke wazi
 

tutavunjana mbavu ujueee!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…