Speed ya Gari kubwa vs Gari ndogo

Speed ya Gari kubwa vs Gari ndogo

JituMirabaMinne

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2020
Posts
3,381
Reaction score
9,744


Kiukweli huwa nasikitika sana nikikuta mtu anasema speed ya gari kubwa mathalani mabasi huwa ni kubwa kuliko speed ya gari ndogo. Unaweza kupitia comments za post niliyoiweka hapo juu.

Hoja yao kubwa huwa tairi ya gari kubwa ni kubwa kuliko ya gari ndogo hivyo hivyo tairi ya gari kubwa itafanya mizunguko mingi kuliko ya gari ndogo. Hii si sawa.

Uhalisia upo hivi. Katika speed fulani mfano 50kph. Tairi ndogo itafanya mizunguko mingi kuliko tairi kubwa ili kumaintain distance iliyokuwa covered.

Kiuhalisia speed ni speed. Hivyo ikiwa 50kph kwa basi hata kwa gari ndogo itakuwa ni 50kph.

Kwenye gari whether speed wamechukulia kwenye mzunguko wa tairi au kwenye gearbox, lazima calculation zifanyike na lazima zihusishe mzunguko wa tairi.

Ukitaka kuprove kwamba speed 200kph ni sawa kwa gari ndogo na kubwa. Siku ukisafiri na basi kaa mbele eneo ambalo unaweza kuiona speedometer ya dereva.

Set navigation kwenye google map ya simu yako [Hii huwa inaonesha speed]. Gari ikianza kutembea linganisha speed kwenye simu na kwenye gari. Huwa zipo sawa.

Siku nyingine jaribu pia hivyo kwa gari ndogo.

Utarealize speed ni speed no matter what.
 




Kiukweli huwa nasikitika sana nikikuta mtu anasema speed ya gari kubwa mathalani mabasi huwa ni kubwa kuliko speed ya gari ndogo. Unaweza kupitia comments za post niliyoiweka hapo juu.

Hoja yao kubwa huwa tairi ya gari kubwa ni kubwa kuliko ya gari ndogo hivyo hivyo tairi ya gari kubwa itafanya mizunguko mingi kuliko ya gari ndogo. Hii si sawa.

Uhalisia upo hivi. Katika speed fulani mfano 50kph. Tairi ndogo itafanya mizunguko mingi kuliko tairi kubwa ili kumaintain distance iliyokuwa covered.


Kiuhalisia speed ni speed. Hivyo ikiwa 50kph kwa basi hata kwa gari ndogo itakuwa ni 50kph.

Kwenye gari whether speed wamechukulia kwenye mzunguko wa tairi au kwenye gearbox, lazima calculation zifanyike na lazima zihusishe mzunguko wa tairi.


Ukitaka kuprove kwamba speed 200kph ni sawa kwa gari ndogo na kubwa. Siku ukisafiri na basi kaa mbele eneo ambalo unaweza kuiona speedometer ya dereva.

Set navigation kwenye google map ya simu yako [Hii huwa inaonesha speed]. Gari ikianza kutembea linganisha speed kwenye simu na kwenye gari. Huwa zipo sawa.

Siku nyingine jaribu pia hivyo kwa gari ndogo.

Utarealize speed ni speed no matter what.
Tuliwahi teleka vifaa vya bus lilikua limeharibika haya mabus ya GOLDEN DRAGON usiku gari ikapona tukaondoka mimi nilikua kwenye prado, prado ilikua inatembea 170+ na bado bus ilikua mbele wajuzi watujuze
 
Logic ipo hapa..
Ukisoma dashboard kipimo cha mwendo ni either km/h au gari chache zenye mph..
Sasa gari ndogo ukiwa 20km/h i.e ndani ya saa moja utacover 20kms..
Gari kubwa akiwa 20km/h naye atacover same distance 20kms..Kwahiyo hakuna kupishana..
Tofauti ni kwenye acceleration ya kutoka 0 mpaka hiyo constant speed..
 
Logic ipo hapa..
Ukisoma dashboard kipimo cha mwendo ni either km/h au gari chache zenye mph..
Sasa gari ndogo ukiwa 20km/h i.e ndani ya saa moja utacover 20kms..
Gari kubwa akiwa 20km/h naye atacover same distance 20kms..Kwahiyo hakuna kupishana..
Tofauti ni kwenye acceleration ya kutoka 0 mpaka hiyo constant speed..
Sijui kwanini hili limekuwa gumu kueleweka wakati lipo wazi!
 
Turudi kwenye definition ya speed... (Distance covered/time,) so kama so kama sehemu ina umbali wa km 20.. gari ikitembea kwa mwendo wa 20kmh iwe ni basi au gari ndogo, zote zitatumia muda sawa ku cover hiyo distance, difference itakua kwenye rotation ya magurudumu.. gari ndo matairi yatazunguka mara nyingi kuliko tairi za gari kubwa..
 
Back
Top Bottom