Speed ya intanet imepungua sana Tanzania tumerudi 3G?

Speed ya intanet imepungua sana Tanzania tumerudi 3G?

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Hivi hili ni mimi au nanyie mnaexprience hii hali?

Mnaweza kudhani labda ni simu La hasha simu ram ni 12 na uwezo wake ni mkubwa haijajaa hata

Mitandao sijui imekuaje

Mfano Halotel 3g yao inakasi kuliko 4G yao yaani kwenye simu ukiset 3G option ndo inakua na kasi

Voda 5G 4G na 3G lakini naishia kuset 3G tu maana 4G zao na 5G zao ni magumashi tu

Tigo nao ni hivyo hivyo bora wao LTE yao inakasi kidogo ila 5G yao hamna kitu
 
Mimi nakupinga vikali sana Mkuu, ukiniambia Halotel na kifaa chako nita kuelewa. Halotel ni bora wajitoe tu kwenye maswala ya huduma za internet. Pili kifaa chako jaribu kupata simu achana na hicho kifaa utakuja ni shukuru. Natumia Voda na Airtel internet kwa level ya 3G & 4G tu speed nayo pata ina tosha kwenye upande wa simu na computer speed ya 5MBps ni standard kabisa kwa kustream mpaka 4K videos, kufanya video call, kubrowse etc.
Ila kwa sasa kuna ongezeko kubwa sana la matumizi ya internet japo sita weza kutoa statistical data ila kwa mlundikano wa internet routers zinazo uzwa mtaani una weza jipatia jibu, hili limepelekea kuwe na load kidogo kwenye mitandao kama Airtel mida flani haswa ya jioni japo kwa uwepo wa mkonga mkubwa hivi sasa wana limudu hilo bado kasi ipo vizuri kz wanao fanya streaming kwenye TV wana weza toa ushahidi buffering sio nyingi.
Kumalizia napenda kukushauri badilisha hicho kifaa tafuta simu RAM kuwa kubwa bado sio kigezo cha ubora wa kifaa chako simu zipo, narudia kuna simu ongeza mapambano yako upate simu ya kueleweka.
 
Back
Top Bottom