Sijakuelewa ebu dadavua basiiTTCL na TBCCM ni kwa ajili ya usweken. Sikulaumu
Idadi ya watu pia inachangia hii net ya minara ya simu bandwidth watumiaji mna share kama watumiaji hampo wengi speed nzuri .....hiohio ttcl kuna maeneo ukikaa kwa dar haisumbuiDar internet ya TTCL inakata kata sana na speed yake ni ndogo sana kwanini?
Lakini huku Mbeya nimekuja Jana lakini nimeona tofauti kubwa ya speed ya internet ukilinganisha na Dar hii ina maana gani huku Mbeya kuna nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Dar internet ya TTCL inakata kata sana na speed yake ni ndogo sana kwanini?
Lakini huku Mbeya nimekuja jana lakini nimeona tofauti kubwa ya speed ya internet ukilinganisha na Dar hii ina maana gani huku Mbeya kuna nini?
Sent using Jamii Forums mobile app