SPEEDAF Carrier na uhuni wenu wa kitoto mnaotufanyia

SPEEDAF Carrier na uhuni wenu wa kitoto mnaotufanyia

Kilangi masanja

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
4,495
Reaction score
5,025
Hello habari wadau wa jukwaa la teknolojia na wanajamiiforum kwa ujumla.
Kutoka na kasi ya maendeleo ya kisayansi na kiteknolojia si ajabu tena kwa mtu kufanya manunuzi mitandaoni .

Vivyo hivo hata Tanzania kwa sasa idadi ya watu wanaofanya manunuzi hayo imeongezeka maradufu, hasa masoko ya kutoka Uchina(nduguzetu wa damu).

Zimekuepo njia nyingi zitumikazo kusafirisha mizigo kutoka mataifa hayo (Uchina ikiwemo) kwa mda mrefu sasa .Hivi karibu kampuni ya speedaf ilifungua branch Kenya na kua mkombozi huko kwa huduma yao ya door to door delivery lakini uharaka wa mchakato mzima wa kupata mzigo wako toka siku ya manunuzi ulikua ni wa haraka na kuridhisha
Baada ya ujio wao Tanzania tulifurahi sana na kuamini kua nasi sasa tutaendana na kasi ya wenzetu kwani kampuni ile ile imeingia nchini kwetu kutoa huduma zile zile.

La hasha ,vilio vimeanza kusikika kila kona ya nchi yetu .Mizigo inatoka China vizuri, inafika mpka mkoa mhusika ulipo , maagent wanawakabidhi watu wafanye delivery kwa mteja husika ila kimbembe kinaanzia hapa .

1.Mteja hapokei simu ya wito kwa ajili ya kupokea mzigo wake .

2.Ukifuatilia ofisini speedaf unakuta sometimes mzigo ushasaini kua uliiuchukua ilhali haujauchukua wewe mhusika .Meanz agent wa kuleta anajisainia mwenyewe kua kafanya delivery( Kum make zenu tamaa mbaya). Sasa unapoingia kwa seller kudai refund unakuta seller anaevidence inayoonesha kua mzigo umepokelewa na mhusika alieununua.

Sasa kwa hali hii kweli tutafika .Mnafanya huduma nzuri au makampuni mazuri yasije nchini kwa tamaa ndogo ndogo kabisa .

WADAU KAMA SPEEDAF HAWALETI MAREKEBISHO HARAKA,tuanzeni napema kampeni ya kufosi seller kutokutumia hawa speedaf kwani ni hasara kubwa mno tuipatayo wote mnunuzi na muuzaji. Hapa chini naweka ushahidi wa item nisioipokea ila agent uchawara kasign kua umefika na kapita nao kaenda kuhonga kwa demu wake manina
Screenshot_20221203-155700_Telegram.jpg
Screenshot_20221203-213420_WhatsApp.jpg
 
Hello habari wadau wa jukwaa la teknolojia na wanajamiiforum kwa ujumla.
Kutoka na kasi ya maendeleo ya kisayansi na kiteknolojia si ajabu tena kwa mtu kufanya manunuzi mitandaoni .
Vivyo hivo hata Tanzania kwa sasa idadi ya watu wanaofanya manunuzi hayo imeongezeka maradufu, hasa masoko ya kutoka Uchina(nduguzetu wa damu).
Zimekuepo njia nyingi zitumikazo kusafirisha mizigo kutoka mataifa hayo (Uchina ikiwemo) kwa mda mrefu sasa .Hivi karibu kampuni ya speedaf ilifungua branch Kenya na kua mkombozi huko kwa huduma yao ya door to door delivery lakini uharaka wa mchakato mzima wa kupata mzigo wako toka siku ya manunuzi ulikua ni wa haraka na kuridhisha
Baada ya ujio wao Tanzania tulifurahi sana na kuamini kua nasi sasa tutaendana na kasi ya wenzetu kwani kampuni ile ile imeingia nchini kwetu kutoa huduma zile zile.
La hasha ,vilio vimeanza kusikika kila kona ya nchi yetu .Mizigo inatoka China vizuri, inafika mpka mkoa mhusika ulipo , maagent wanawakabidhi watu wafanye delivery kwa mteja husika ila kimbembe kinaanzia hapa .
1.Mteja hapokei simu ya wito kwa ajili ya kupokea mzigo wake .
2.Ukifuatilia ofisini speedaf unakuta sometimes mzigo ushasaini kua uliiuchukua ilhali haujauchukua wewe mhusika .Meanz agent wa kuleta anajisainia mwenyewe kua kafanya delivery( Kum make zenu tamaa mbaya). Sasa unapoingia kwa seller kudai refund unakuta seller anaevidence inayoonesha kua mzigo umepokelewa na mhusika alieununua.
Sasa kwa hali hii kweli tutafika .Mnafanya huduma nzuri au makampuni mazuri yasije nchini kwa tamaa ndogo ndogo kabisa .
WADAU KAMA SPEEDAF HAWALETI MAREKEBISHO HARAKA,tuanzeni napema kampeni ya kufosi seller kutokutumia hawa speedaf kwani ni hasara kubwa mno tuipatayo wote mnunuzi na muuzaji. Hapa chini naweka ushahidi wa item nisioipokea ila agent uchawara kasign kua umefika na kapita nao kaenda kuhonga kwa demu wake manina
Dah, aisee pole sana Ndugu.
 
duh, em muwe na uungwana , umethibitisha kabisa mzigo umefika ukawa delivered kwa mtu mwingine bado ukadai 'refund' kweli ? sishangai kwanini baadhi ya sellers hawa ship Tz
Kosa ni lipi au hujaelewa hoja item ifike posta kwa mfano mtu wa posta ajifanyie delivered mwenyewe , ukienda unaambiwa item yako haijawahi fika hapa na hawaitambui, ungefanya nini kwa mfano
 
Kosa ni lipi au hujaelewa hoja item ifike posta kwa mfano mtu wa posta ajifanyie delivered mwenyewe , ukienda unaambiwa item yako haijawahi fika hapa na hawaitambui, ungefanya nini kwa mfano
kama una track namba na nimejua mzigo umefika na kupepea hapahapa Tz, siwezidai refund kwa kweli, em mue waungwana

kitendo cha kukimbilia kudai refund ilihali item ilishafika, siyo uungwana, kuna sellers hawa-ship Tz na baadhi ya nchi zenye tabia za ajabu kama hiyo
 
kama una track namba na nimejua mzigo umefika na kupepea hapahapa Tz, siwezidai refund kwa kweli, em mue waungwana

kitendo cha kukimbilia kudai refund ilihali item ilishafika, siyo uungwana, kuna sellers hawa-ship Tz na baadhi ya nchi zenye tabia za ajabu kama hiyo
Hudai refund - unakaa kimya kuwa umepigwa au utafanya jambo gani?
 
kama una track namba na nimejua mzigo umefika na kupepea hapahapa Tz, siwezidai refund kwa kweli, em mue waungwana

kitendo cha kukimbilia kudai refund ilihali item ilishafika, siyo uungwana, kuna sellers hawa-ship Tz na baadhi ya nchi zenye tabia za ajabu kama hiyo
Hilo linafahamika mfano wewe hapo ungefanya option ipi
 
Wamekuwa wakikaa na mizigo na hawatoi tarifa yoyote, Wana sign mizigo imepokelewa angali bado muhusika hajapokea Wana ukakasi sana.
Sure, mzigo unatoka China kwa spidi ya ajabu, siku 7 tu upo Dar, halafu sasa hao speedaf wa bongo ndio wanauchukua na kukaa nao zaidi ya siku 7 hauoni movement yoyote ya mzigo, siku wakikutaarifu kwenda kuchukua wanatuma text tu hawataki kupokea simu, wanaweka location za ajabu ajabu..yaani miyeyusho. Kama wameanza na hili la kusign mizigo ya wateja basi wanazidi kuharibu.
 
Back
Top Bottom