SPEEDAF Carrier na uhuni wenu wa kitoto mnaotufanyia

SPEEDAF Carrier na uhuni wenu wa kitoto mnaotufanyia

aliewahi kuagiza simu aliexpress through speedaf, naomba kuuliza inafika bila tatizo lolote?maana kibongo bongo mzigo kupotea ni kugusa
Kutoka china mpaka Tz mzigo unafika fresh, Tatizo linaanzia hapa Tanzania
 
kama una track namba na nimejua mzigo umefika na kupepea hapahapa Tz, siwezidai refund kwa kweli, em mue waungwana

kitendo cha kukimbilia kudai refund ilihali item ilishafika, siyo uungwana, kuna sellers hawa-ship Tz na baadhi ya nchi zenye tabia za ajabu kama hiyo
Hivi mkuu unafahamu chain ya mzigo jinsi inavyofanya kazi? Kuanzia kununua, kukatiwa tracking number, kusafirishwa, hadi kumfikia mteja?

Usipodai refund ni wewe, 😀 lakini jua kabisa mzigo unaposafirishwa, seller anakuwa tayari nae ameulipia bima kidogo, ukipotea yeye mwenyewe hana hasara na lazima awe refunded pia, wanabaki wanavutana koo couriers, sasa mimi nisitake refund kwa nini? 😳
 
tayari nae ameulipia bima kidogo
Parcels zinazokuwa registered/insured (kwa economy au standard shipping) ni zile zinazoanzia na tracking code R, na shipping fee inalipiwa na mnunuzi.

Parcel imepotelea Tz(na ndicho hasa kinachotokea), ukafungua dispute, muuzaji ana haki za kuambatanisha vielelezo kwamba parcel imekuwa shipped, AI za Aliexpress zikathibitisha hii, refund request yako haikubaliwi.
 
Mm nawaamini zaidi speedaf kuliko posta
Ulishawah agiza kitu kama simu kikakufikia bila tatizo? Mimi pia nawaamini sema nimeagiza vitu vidogo vidogo tu ambavyo havifiki gharama kama laki nne hivi, nilishawahi agiza cha laki tatu na kitu na kikanifikia.
 
ulishawah agiza kitu kama simu kikakufikia bila tatizo? mi pia nawaamin sema nimeagiza vitu vidogo vidogo tu ambavyo havifik gharama kama laki nne hivi, nilishawah agiza cha laki tatu na kitu na kikanifikia
Boss mm naagiza vitu vingi sana, hata zaidi ya 300k. Ujio wa speedaf kwangu ni mkombozi sababu post mizigo inachelewa sana. Mzigo unaweza kufika posta ukakaa hata wik mbili bila kupigiwa simu mpaka uende mwenyewe. Speedaf siku 12 mpaka 15 unapokea tena kwenye address yako.

Mimi kabla ya kulipia kitu namwambia kabisa seller unasafirisha na speedaf? Kama haiwezekani namtafuta mwingine.
 
Msaada wakuu. nimeagiza aliexpress carrier ni cainiao super economy global....Je hawa jamaa si ndo speedaf?

Tracking no imeanza na UV72. Make naona mzigo umefika tar 4 dec ila bado kimya
Mzigo wako uliupata tena maana wangu umeanza na UT leo siku ya 14 sijaupata
 
Speedaf ni wapuuzi sana, niliagiza kioo cha redmi note 10 5g ndani ya siku 4 kilikuwa tz. Kesho yake tracking ikasoma Dodoma, baada ya siku 3 agent akawa amesign kuderivery mzigo. Kama siku 4 mbele mzigo ukawa signed na agent na namba yake ya simu ikaonekana. AliExpress wakanitumia delivery note ya mzigo kuwa nimeupokea wakati sijauona, nikaenda posta kuangalia kama ulifikia kwao nao hawakuuona.

Ile namba niliipigia zaidi ya wiki na haipatikani, nikawasiliana na muuzaji akanitumia namba ya makao makuu Tanzania ile namba hata haipokelewi.
Wakati nimekata tamaa nikaijaribu kuipigia ikapokelewa nikamuuliza kuhusu kupokea mzigo wangu akanielekeza niufuate nyumbani kwake na ni nje kidogo ya mji. Kiukweli alinikera huyo jamaa na hapo nyumbani kwake alikuwa na mizigo mingi ya watu wengine.
Na nyumbani kwake ni wapi exactly, kmmk daaah naweza nikaleta noma aisee
 
ulishawah agiza kitu kama simu kikakufikia bila tatizo? mi pia nawaamin sema nimeagiza vitu vidogo vidogo tu ambavyo havifik gharama kama laki nne hivi, nilishawah agiza cha laki tatu na kitu na kikanifikia
Wanakuletea ulipo.

Ova
 
Lols! Hili neno 'jau' ni maarufu sana. Ni kweli, Posta ni jau sana.

Ova
Wewe wa kishua si ulikuwa hujui hadi nilipokufundisha? Lol

Lakini naona bado hujaelewa maana yake vizuri, Posta hakuwezi kuwa na jau. Ngoja niendelee kukufundisha.
 
Dah hawa jamaa Wana shida gani mizigo yangu imefika halafu wamekausha kimya. Mmoja toka mwezi wa saba, ngoja niwaendee hukohuko
Jana nimetoka posta kuna mzigo umefika toka mwezi wa saba lakini naambiwa hakuna mzigo
 
Back
Top Bottom