Until_The_End
JF-Expert Member
- Nov 21, 2020
- 1,456
- 2,202
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Posta jau sanaPosta
Aliewahi kuagiza simu aliexpress through speedaf, naomba kuuliza inafika bila tatizo lolote? Maana kibongo bongo mzigo kupotea ni kugusa.Posta jau sana
Kutoka china mpaka Tz mzigo unafika fresh, Tatizo linaanzia hapa Tanzaniaaliewahi kuagiza simu aliexpress through speedaf, naomba kuuliza inafika bila tatizo lolote?maana kibongo bongo mzigo kupotea ni kugusa
Posta kuna jau gani mkuuPosta jau sana
Kutoka china mpaka Tz mzigo unafika fresh, Tatizo linaanzia hapa T
Ni kweli mkuu wenzetu kule hawana ubabaishaji, sasa sisi huku ndio tatizo linaanza na mzigo ukipita kwa mawakala wengi ndio tatizo zaidi..Kutoka china mpaka Tz mzigo unafika fresh, Tatizo linaanzia hapa Tanzania
Hivi mkuu unafahamu chain ya mzigo jinsi inavyofanya kazi? Kuanzia kununua, kukatiwa tracking number, kusafirishwa, hadi kumfikia mteja?kama una track namba na nimejua mzigo umefika na kupepea hapahapa Tz, siwezidai refund kwa kweli, em mue waungwana
kitendo cha kukimbilia kudai refund ilihali item ilishafika, siyo uungwana, kuna sellers hawa-ship Tz na baadhi ya nchi zenye tabia za ajabu kama hiyo
Parcels zinazokuwa registered/insured (kwa economy au standard shipping) ni zile zinazoanzia na tracking code R, na shipping fee inalipiwa na mnunuzi.tayari nae ameulipia bima kidogo
TRA. Malipo ya 5900 mara 2350 ya hawaelewekiPosta kuna jau gani mkuu
Mm nawaamini zaidi speedaf kuliko postaaliewahi kuagiza simu aliexpress through speedaf, naomba kuuliza inafika bila tatizo lolote?maana kibongo bongo mzigo kupotea ni kugusa
Ulishawah agiza kitu kama simu kikakufikia bila tatizo? Mimi pia nawaamini sema nimeagiza vitu vidogo vidogo tu ambavyo havifiki gharama kama laki nne hivi, nilishawahi agiza cha laki tatu na kitu na kikanifikia.Mm nawaamini zaidi speedaf kuliko posta
Boss mm naagiza vitu vingi sana, hata zaidi ya 300k. Ujio wa speedaf kwangu ni mkombozi sababu post mizigo inachelewa sana. Mzigo unaweza kufika posta ukakaa hata wik mbili bila kupigiwa simu mpaka uende mwenyewe. Speedaf siku 12 mpaka 15 unapokea tena kwenye address yako.ulishawah agiza kitu kama simu kikakufikia bila tatizo? mi pia nawaamin sema nimeagiza vitu vidogo vidogo tu ambavyo havifik gharama kama laki nne hivi, nilishawah agiza cha laki tatu na kitu na kikanifikia
Mzigo wako uliupata tena maana wangu umeanza na UT leo siku ya 14 sijaupataMsaada wakuu. nimeagiza aliexpress carrier ni cainiao super economy global....Je hawa jamaa si ndo speedaf?
Tracking no imeanza na UV72. Make naona mzigo umefika tar 4 dec ila bado kimya
Dah hawa jamaa Wana shida gani mizigo yangu imefika halafu wamekausha kimya. Mmoja toka mwezi wa saba, ngoja niwaendee hukohukoPosta
Na nyumbani kwake ni wapi exactly, kmmk daaah naweza nikaleta noma aiseeSpeedaf ni wapuuzi sana, niliagiza kioo cha redmi note 10 5g ndani ya siku 4 kilikuwa tz. Kesho yake tracking ikasoma Dodoma, baada ya siku 3 agent akawa amesign kuderivery mzigo. Kama siku 4 mbele mzigo ukawa signed na agent na namba yake ya simu ikaonekana. AliExpress wakanitumia delivery note ya mzigo kuwa nimeupokea wakati sijauona, nikaenda posta kuangalia kama ulifikia kwao nao hawakuuona.
Ile namba niliipigia zaidi ya wiki na haipatikani, nikawasiliana na muuzaji akanitumia namba ya makao makuu Tanzania ile namba hata haipokelewi.
Wakati nimekata tamaa nikaijaribu kuipigia ikapokelewa nikamuuliza kuhusu kupokea mzigo wangu akanielekeza niufuate nyumbani kwake na ni nje kidogo ya mji. Kiukweli alinikera huyo jamaa na hapo nyumbani kwake alikuwa na mizigo mingi ya watu wengine.
Wanakuletea ulipo.ulishawah agiza kitu kama simu kikakufikia bila tatizo? mi pia nawaamin sema nimeagiza vitu vidogo vidogo tu ambavyo havifik gharama kama laki nne hivi, nilishawah agiza cha laki tatu na kitu na kikanifikia
Lols! Hili neno 'jau' ni maarufu sana. Ni kweli, Posta ni jau sana.Posta kuna jau gani mkuu
Ndioaliewahi kuagiza simu aliexpress through speedaf, naomba kuuliza inafika bila tatizo lolote?maana kibongo bongo mzigo kupotea ni kugusa
Wewe wa kishua si ulikuwa hujui hadi nilipokufundisha? LolLols! Hili neno 'jau' ni maarufu sana. Ni kweli, Posta ni jau sana.
Ova
Jana nimetoka posta kuna mzigo umefika toka mwezi wa saba lakini naambiwa hakuna mzigoDah hawa jamaa Wana shida gani mizigo yangu imefika halafu wamekausha kimya. Mmoja toka mwezi wa saba, ngoja niwaendee hukohuko