Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,428
- 27,096
Poleni mliokumbwa na masahibu. Mimi mara mbili zote jamaa wamedeliver on time bila usumbufu wowote. Nadhani agents wao ndio wazinguzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao ni posta mzee, kuwa na subira, huwa wako polepole sana, ila mzigo ukifika wanakupigia simu ukachukue.Wazee mpaka hapo kuna ulazima wa kusubiri tena nipigiwe simu au niwafate huko huko mwenyewe nikajichukulie changu mapema?View attachment 2794377View attachment 2794378
Sawa mkuuHao ni posta mzee,kuwa na subira,huwa wako polepole sana,ila mzigo ukifika wanakupigia simu ukachukue
Airtel hata mimi wamenishinda, tumia tigo pesa ama m pesaHawa airtel mastercard wana changamoto kwa sasa.
mnatumia card gani kwa sasa tofauti na hawa airtel? maana nna mzigo nilitaka kulipia asap!
Wapuuzi kweli!! Nimeshaweka hela airtel money ndo nakuja kuambiwa hivyo.Airtel hata mimi wamenishinda,tumia tigo pesa ama m pesa
Vodacom VisacardHawa airtel mastercard wana changamoto kwa sasa.
mnatumia card gani kwa sasa tofauti na hawa airtel? maana nna mzigo nilitaka kulipia asap!
Si kweliPosta hata kama uliagiza nje kitu cha mia, lazima ulipie dola moja sasa hivi
Anachosema mkuu Baba Rayhaan ni kweli.
Huo utapokelea posta, wanachelewesha sana. Speedaf wanaanza na TZ..Msaada wakuu. nimeagiza aliexpress carrier ni cainiao super economy global....Je hawa jamaa si ndo speedaf?
Tracking no imeanza na UV72. Make naona mzigo umefika tar 4 dec ila bado kimya
Isee!! sijui imekuaje ila mara kibao natumia cainiao super economy global na unaletwa na speedaf!!Huo utapokelea posta, wanachelewesha sana. Speedaf wanaanza na TZ..
Posta ni wezi bora speedafIsee!! sijui imekuaje ila mara kibao natumia cainiao super economy global na unaletwa na speedaf!!
Hapo ntanyooka[emoji23]
Kama hutaki refund elezea njia gani utafidiwa mzigo wako?kama una track namba na nimejua mzigo umefika na kupepea hapahapa Tz, siwezidai refund kwa kweli, em mue waungwana
kitendo cha kukimbilia kudai refund ilihali item ilishafika, siyo uungwana, kuna sellers hawa-ship Tz na baadhi ya nchi zenye tabia za ajabu kama hiyo
Sasa ufanyaje ili mzigo uje kwa speedaf? Mi directly huletewa kwa posta.Agent wa Speedaf Bagamoyo-Pwani, jamaa hajawahi kuniangusha aisee. Package ya 3 on time[emoji2]View attachment 2839782
PostaTracking number inayoanza na UA mzigo nachukulia wapi?