Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
+255754235269 mpigie huyoNaomba mwenye namba za speedaf anisaidie. Mizigo yangu kwenye tracking wanayo tangu tarehe 4/7 ila mpaka Sasa naona kimya.
Leo nimepokea mzigo wangu. Makao makuu wapo faster sana kutoa mizigo kuja mikoani. Delivery huku tulipo ndio inakuwa slow.
Package ilikuwa ni wireless keyboard & mouse.
Nawasilisha mrejesho wakuu.
View attachment 2655034
toa suluhisho basi ili watu wajifunze, la muhimu ni mtu kupata mzigo wake.nisingedai refund
hii ni sawaSpeedaf si wana hq yao hebu tutulie man tuwaandikie email ya malalamiko kuelezea tunachofanyiwa na maagent wao .Nipate ushahidi kutoka kwa buyer hata watano hivi tu attach maisha yasonge
Jamaa wezi sanaa.
Speedaf ni wezi sana wanatumia watu wahuni wa vijiweni kuleta mizigo wakiona simu kali wanapita nayo na huku online unaambiwa umeshapokea mzigo tayari
Mimi ninefungua dispute Ali express nafatilia refund kwa selller.
Mi nimelalamika sana, munifundishe iyo spedaf nawapataje Aliexpress naona mumenigomea, nimewamba adress ya ya china ili nipeleke mzigo pia mmenigomea no suweti, sasa nishapata mkombozi, kwa bei ile ile kama ya posta kwa vipasel vyangu vidogo vidogo vya 0.1kg.. 0.2, 0.3kg,
Ndan ya siku 10-15
Mbona wengi tuna sanduku la posta na bado speedaf wanatusafirishia percel zetu? Kwa nini iwe tofauti kwako?Huwa nachagua sana iyo ila kila pasel inayokuja nakuta naenda kuchukulia posta na haina chata iyo ya spidaf, labda nitajaribu kufuta box namba
Duh hatari sana mkuu, na mm niko mkoani na kuna percel yangu imetua bongo na inaonyesha tayar imeshaondoka dsm so huenda na mie ntakabidhiwa stand 😀😀Hii kitu nimeishangaa hata mimi. Nilinunua Smartwatch mtandaoni ikafikia Mkoani. Cha kushangaza mzigo nimekabidhiwa stand ya bus. Mazingira ya kupoteza mzigo ni makubwa sana. Kwenye kukabidhiwa mzigo hata sikuombwa utambulisho wangu. Kuna kitu wanatakiwa kufanya.
Mkuu hii bidhaa yako Je uli chargiwa ushuru na TRA..? Coz na mm niko na mpango wa kuagiza satellite finder so nahisi huwenda TRA wata piga VAT ..Mmmh Kiukwel me nimepata mzigo wangu tena bila usumbufu leo , niliagizia ALFA NETWORK CARD $118 nimeipata View attachment 2456421
Lakini wanajitahidi kwenye suala la uaminifuDuh hatari sana mkuu, na mm niko mkoani na kuna percel yangu imetua bongo na inaonyesha tayar imeshaondoka dsm so huenda na mie ntakabidhiwa stand [emoji3][emoji3]