Sambinyakwe kitololo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2022
- 2,419
- 2,940
Hivi speedaf una track vp nijarbu track mzigo wangu leo siku ya 11Ndiyo. Niliagiza mzigo mmoja kwa cainiao super economy ila tracking hadi kupokea wemefanya speedaf
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi speedaf una track vp nijarbu track mzigo wangu leo siku ya 11Ndiyo. Niliagiza mzigo mmoja kwa cainiao super economy ila tracking hadi kupokea wemefanya speedaf
Ingia hapaHivi speedaf una track vp nijarbu track mzigo wangu leo siku ya 11
Nimeona mkuu shukran, naona ndege imesepa Jana night kufika sijui liniIngia hapa
速达非 Speedaf Express | 国际快递,跨境货运,仓储服务 Tracking, Shipment, Locations Kisha uta paste track number
Wewe upo mkoani?Naona ndege imeshafika bongo clearance zinaendelea hapa sijui utatumia muda gani kufika
NdioWewe upo mkoani?
Nimepokea tare 30, niliagiza tar 15Wale mlionunua mzigo yenu wiki mbili nyuma mmeshapokea mizigo yenu?
Mimi bado sijapokea japo tayari imesharuhusiwa kuja kibaha. Ni siku ya tatu sasa tangu niambiwe umeshatumwa kibaha na sijatumiwa sms wala kupigiwa simu na ajent wao wa picha ya ndege.
Je, na kwa walio mkoani bado hamjapokea mizigo yenu?
Mimi bado ndugu. Waliutuma kutoka Dar kwenda kibaha tarehe 6,mpaka leo tarehe kumi sijapokea.Nimepokea tar 5 june,niliagiza tar 22 may
Niliagiza tarehe 24 may.Nimepokea tare 30, niliagiza tar 15
Kama kawaida yetu.Wachina wanajitahidi sana kufanya kazi yao. Watanzania ndio wanakuja kuvuruga
Post in thread 'Nilipoagiza mzigo aliexpress nikakumbana na rungu la kodi' Nilipoagiza mzigo aliexpress nikakumbana na rungu la kodiWakuu nikiwa nahitaji kununua mzigo AliExpress kisha niwatumie hawa kwa ajili ya usafiri nafanyaje?
Leo nimepokea mzigo wangu. Makao makuu wapo faster sana kutoa mizigo kuja mikoani. Delivery huku tulipo ndio inakuwa slow.
Package ilikuwa ni wireless keyboard & mouse.
Nawasilisha mrejesho wakuu.
View attachment 2655034
KabisaMm ndege imeondoka Jana jioni Hadi kesho itakuwa ipo dar,, baada ya hapo nadhani siku tatu utakuwa hapa
Bei zake wanapima kwa kilo au wanakadiriaje?Kabisa
Hakuna gharama yoyote ile kwa speedaf.Bei zake wanapima kwa kilo au wanakadiriaje?
Nina kamzigo la kilo 2 watanipiga Bei gani?