Speedaf wana changamoto gani?

Speedaf wana changamoto gani?

Wakuu habarini, speedaf wanachangamoto gani sasa hivi? Nimeagiza package tangu tareh 15/6/24, speedaf wameuchukua tarehe 17/6/24, lakin cha kushangaza tangu tarehe 21/6/24 mzigo umemaliza proces zote za clearence, lakin ndege bado haijatoka airport tangu tareh 21/6/24.

Kuna yeyote anapitia changamoto kama ya kwangu, hawa jamaa sio kawaida yao mzigo kukaa muda mrefu hivi airport, au wamezidiwa na wateja?
Mkuu mimi niliagiza taa za gari Alli express. Mzgo ulifika haraka sana siwezi walaumu speedaf shida ipo kwa wabongo wenzetu mawakala wao ambao kwa huku kwetu ni mawakala wanaopokea na mizigo ya kukuu. Mzgo ulifika dar ndani ya siku 10 tu. Toka dar hadi nilipo imechukua mwezi mzma,ikabidi nifuatilie sana wakaniambia mazgo ulipitiliza ilienda mkoa wa jiran na nilipo. Hapo napo ukachukua wiki 2 sehemu ya basi linatumia msaa 4 tu. Cha ajabu mzgo nimeupata wameifungua na ile bahasha yake haipo
 
Back
Top Bottom