sperm analisisy!

sperm analisisy!

Vitoto vingi humu akisikia kidole kinaingia huko anadhani ushoga haya ni matibabu.
umenifanya nicheke....maana mie nna hali fulani sasa hivi sasa ilipofikia naonana na dr kila baada ya wiki mbili,na kila nikienda ananifanyia ultrasound na sie tumezoea ile ya juu ya tumbo sasa hii nnayofanyiwa siku ya kwanza nusu nichomoe maana wanaingiza ndani ya uke nkachoka kabisa
 
umenifanya nicheke....maana mie nna hali fulani sasa hivi sasa ilipofikia naonana na dr kila baada ya wiki mbili,na kila nikienda ananifanyia ultrasound na sie tumezoea ile ya juu ya tumbo sasa hii nnayofanyiwa siku ya kwanza nusu nichomoe maana wanaingiza ndani ya uke nkachoka kabisa
Patakuwa TMJ kwa yule mhindi jamaa anafaidi ile mbaya kazi ile mi nafanya bure bana lol!
 
hahahahahahahahah weye na huyo muhindi sijui mara ya ngapi nakusikia......anafaidi nini sasa!
Sasa wewe kila mwanamke unamuingiza kile kidubwasha mshahara wa nini,kuna mpemba alimpeleka mke wake baada ya kuambiwa alichofanyiwa pakawa hapatoshi pale hahaha!
 
Sasawewe kila mwanamke unamuingiza kile kidubwasha mshahara wa nini,kuna mpemba alimpeleka mke wake baada ya kuambiwa alichofanyiwa pakawa hapatoshi pale hahaha!
hahahahahahhahah mpemba alitaka fanyiwa na yeye nini...maana tiba nyingine sio kabisa kiukweli sijui wenyewe huwa wanajisikiaje,ukizingatia watu tumeumbwa tofauti bwana!
 
hahahahahahhahah mpemba alitaka fanyiwa na yeye nini...maana tiba nyingine sio kabisa kiukweli sijui wenyewe huwa wanajisikiaje,ukizingatia watu tumeumbwa tofauti bwana!
Bila kuondolewa na walinzi mhindi angekula vibao,nilimpeleka shemeji aliepata mimba kwa mara ya kwanza baada ya kuhangaika muda mrefu aliponieleza aina ya uchunguzi nikacheka sana.
 
Bila kuondolewa na walinzi mhindi angekula vibao,nilimpeleka shemeji aliepata mimba kwa mara ya kwanza baada ya kuhangaika muda mrefu aliponieleza aina ya uchunguzi nikacheka sana.
ni vile tu ndani ya akili zetu tunakuwa na mawazo fulani....kinyume chake tungeziona za kawaida hahahahahahahahaahahah!
 
mi nashangaa walivyonishushua nikaona isiwe taabu...wakati nimeona kwa jicho langu!

Hahahahahahah lol! Nimecheka sana...Shosti hebu tuambie weye ulikuwa unafanya nini kule ndani? au ndio ulioifanya kazi hiyo? 🙂 hii inaelekea imeandikwa na shosti original sidhani kama dogo keshafanya vitu vyake tena 🙂
 
ndugu,hivyo vinywaji vinaongeza ama kuchangia ugumba! unywaji wa pombe kupita kiasi ( kwa maana ya kiasi kikubwa cha alcohol) inachangia utengenezaji wa hormone oestrogen (ambayo inapaswa kuwa kidogo kwa wanaume na kiasi kikubwa kwa wanawake). hii inachangia utengenezxaji wa sperms kuwa kidogo.matumizi ya pombe kali pia yanahusishwa na kukatika kwa mikia ya sperms (kumbuka kuwa flagella/mikia ndio husaidia sperms kutembea kama nyoka afanyavyo). ulevi pia unachangia kwa kupunguza libido (hamu), na pata picha baba unarudi home chicha,ukiangusha gari unakoroma so hata muda wa kukutana nao unakuwa affected (from social point,ulevi una madhara kwa amani ya mwanamke kiasi kuwa inaweza hata kuchelewesha conception)

kwa ufupi angalia vitu vinavyoweza kuharibu sperms count.
  • Tight trousers and underwear, synthetic material and heat: It has been suggested that all these adversely affect fertility, so get out those baggy cotton boxers! Keep the family jewels cool. It is known that the testes function most effectively (including the production of sperm) at slightly cooler than core body temperature.
  • Hot tubs and saunas: Frequent use of hot tubs and saunas may lower sperm counts, as heat may decrease sperm production.
  • Alcohol: Alcohol consumption can damage sperm production in a couple of ways. First, it may increase the production of estrogen by the liver, which can lower sperm count. Also, alcohol can directly poison the sperm-producing cells of the testicle. Limit your alcohol intake when you are trying to improve your fertility.
  • Drugs: There are a number of drugs that affect male fertility, including steroids, cytotoxic drugs used in cancer treatments, and opiates. Contact your family doctor if you are on any long-term medication that you are worried may affect your fertility. Doctors should always inform you of any side effects, but it is always easy to check if you have forgotten.
  • Environmental toxins: There is quite a lot of conflicting evidence about environmental substances that may cause damage to sperm. It is known that radiation causes damage and birth defects. Other substances thought to have a detrimental effect on sperm are some perfumes containing phthalates, some types of pesticides, organic mercury, polychlorinated biphenyls, and estrogens in water supply. Many of these substances are still the subject of ongoing research.
  • Smoking: Smokers have been shown to have diminished fertility compared to non-smokers. Smoking may adversely affect the sperm's movement, as well as the health of the sperm.
  • Time of day: Sperm counts are higher in the morning.
  • Excessive ejaculation and prolonged abstinence: Both are known to affect the number and quality of sperm. Intercourse every 2 to 3 days helps ensure optimal sperm count and health.
  • Diet: A healthy balanced diet is important. Foods rich in antioxidants may promote optimal sperm health.
  • Supplements: Folic acid, selenium, and zinc sulfate have been shown to improve sperm counts and sperm function.

Kumbe King'asti daktari eeh!? Maelezo yametulia halafu yameenda shule.
 
Hahahahahahah lol! Nimecheka sana...Shosti hebu tuambie weye ulikuwa unafanya nini kule ndani? au ndio ulioifanya kazi hiyo? 🙂 hii inaelekea imeandikwa na shosti original sidhani kama dogo keshafanya vitu vyake tena 🙂
halafu weye na mwenzio naona mmenipania....haya bwana!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
na kweli, manake huyo radiologist mwenyewe haangalii wala hashiki na mkono. yy kukodolea tu picha kwenye computer tena black and white!
Hiyo unayoisema ni zile za zamani kuna hizi za kuingiza ndani ya uke.
 
hiyo hiyo ya kuingiza ndani bana! kwani si inaingizwa ile machine, lakini yy anaangalia kwenye computer. wala hahitaji kugusa mgonjwa wala kumuangalia kwa macho. kama akikushika shika na kukuchungulia huo ni udhalilishaji na unaweza kumshtaki kabisaa!
Uporoto unaongelea kama anaingia na yy kuchungulia bana! utasababisha tukatazwe kwenda hosp sasa jamani!
Hiyo unayoisema ni zile za zamani kuna hizi za kuingiza ndani ya uke.
 
tatizo la kutokutaka ama la kuhitaji hicho kipimo? u never know wanaweza wakakupimia hata kooni,hahaha! (natumia ile startegy ya shosti ya kutishia kutoa sample kwa kidole,lol)
hahahahaha lol Dr! Namshukuru saaaana tena saaaaana Mungu sina tatizo hilo. 🙂
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom