sperm analisisy!

Vitoto vingi humu akisikia kidole kinaingia huko anadhani ushoga haya ni matibabu.
umenifanya nicheke....maana mie nna hali fulani sasa hivi sasa ilipofikia naonana na dr kila baada ya wiki mbili,na kila nikienda ananifanyia ultrasound na sie tumezoea ile ya juu ya tumbo sasa hii nnayofanyiwa siku ya kwanza nusu nichomoe maana wanaingiza ndani ya uke nkachoka kabisa
 
Patakuwa TMJ kwa yule mhindi jamaa anafaidi ile mbaya kazi ile mi nafanya bure bana lol!
 
hahahahahahahahah weye na huyo muhindi sijui mara ya ngapi nakusikia......anafaidi nini sasa!
Sasa wewe kila mwanamke unamuingiza kile kidubwasha mshahara wa nini,kuna mpemba alimpeleka mke wake baada ya kuambiwa alichofanyiwa pakawa hapatoshi pale hahaha!
 
Sasawewe kila mwanamke unamuingiza kile kidubwasha mshahara wa nini,kuna mpemba alimpeleka mke wake baada ya kuambiwa alichofanyiwa pakawa hapatoshi pale hahaha!
hahahahahahhahah mpemba alitaka fanyiwa na yeye nini...maana tiba nyingine sio kabisa kiukweli sijui wenyewe huwa wanajisikiaje,ukizingatia watu tumeumbwa tofauti bwana!
 
hahahahahahhahah mpemba alitaka fanyiwa na yeye nini...maana tiba nyingine sio kabisa kiukweli sijui wenyewe huwa wanajisikiaje,ukizingatia watu tumeumbwa tofauti bwana!
Bila kuondolewa na walinzi mhindi angekula vibao,nilimpeleka shemeji aliepata mimba kwa mara ya kwanza baada ya kuhangaika muda mrefu aliponieleza aina ya uchunguzi nikacheka sana.
 
Bila kuondolewa na walinzi mhindi angekula vibao,nilimpeleka shemeji aliepata mimba kwa mara ya kwanza baada ya kuhangaika muda mrefu aliponieleza aina ya uchunguzi nikacheka sana.
ni vile tu ndani ya akili zetu tunakuwa na mawazo fulani....kinyume chake tungeziona za kawaida hahahahahahahahaahahah!
 
mi nashangaa walivyonishushua nikaona isiwe taabu...wakati nimeona kwa jicho langu!

Hahahahahahah lol! Nimecheka sana...Shosti hebu tuambie weye ulikuwa unafanya nini kule ndani? au ndio ulioifanya kazi hiyo? 🙂 hii inaelekea imeandikwa na shosti original sidhani kama dogo keshafanya vitu vyake tena 🙂
 

Kumbe King'asti daktari eeh!? Maelezo yametulia halafu yameenda shule.
 
Hahahahahahah lol! Nimecheka sana...Shosti hebu tuambie weye ulikuwa unafanya nini kule ndani? au ndio ulioifanya kazi hiyo? 🙂 hii inaelekea imeandikwa na shosti original sidhani kama dogo keshafanya vitu vyake tena 🙂
halafu weye na mwenzio naona mmenipania....haya bwana!
 
Reactions: BAK
na kweli, manake huyo radiologist mwenyewe haangalii wala hashiki na mkono. yy kukodolea tu picha kwenye computer tena black and white!
Hiyo unayoisema ni zile za zamani kuna hizi za kuingiza ndani ya uke.
 
hiyo hiyo ya kuingiza ndani bana! kwani si inaingizwa ile machine, lakini yy anaangalia kwenye computer. wala hahitaji kugusa mgonjwa wala kumuangalia kwa macho. kama akikushika shika na kukuchungulia huo ni udhalilishaji na unaweza kumshtaki kabisaa!
Uporoto unaongelea kama anaingia na yy kuchungulia bana! utasababisha tukatazwe kwenda hosp sasa jamani!
Hiyo unayoisema ni zile za zamani kuna hizi za kuingiza ndani ya uke.
 
tatizo la kutokutaka ama la kuhitaji hicho kipimo? u never know wanaweza wakakupimia hata kooni,hahaha! (natumia ile startegy ya shosti ya kutishia kutoa sample kwa kidole,lol)
hahahahaha lol Dr! Namshukuru saaaana tena saaaaana Mungu sina tatizo hilo. 🙂
 
Reactions: BAK
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…