Sperm analyisis inapimwaje???

Sperm analyisis inapimwaje???

sinide

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2015
Posts
459
Reaction score
486
Msaada jamani kama swali linavouliza naombeni jibu
 
Ndo ivi majibu yake yanakuwa
1.physical examination-unaangalia sperms jinsi zilivo
2.microscopic examination-kwenye microscope

Majibu ndo yanakaa kama ivo yan
IMG-20190326-WA0008.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hamu ya kupiga punyeto hospital naipataje asee

manii yanapaswa kutolewa saa moja kabla ya kupimwa hivyo kama nyumbani ni karibu unaweza kutolea nyumbani ila kuna hospitali moja nilienda kupima kuna chumba kimetengwa kiko jirani na maabara,
 
Back
Top Bottom