Mkeo je alipima
Aisee namshukuru mungu haya mambo hayajanitokea
ni headache sana mkuu. Endelea kumshukuru Mungu
In layman's language sperm wako wanaleta uboya katika kazi za kiume.
Yaani umejitumaaaa, umesimamia kuchaaa, umecheza kidukiuuu lakini ukiwaachia tu pale penyewe badala wakimbie fasta kwenye yai kama relay , yaani scramble for the fittest wanaleta pozi, *****.
Inawezekana kwenye shimo mazingira si rafiki....In layman's language sperm wako wanaleta uboya katika kazi za kiume.
Yaani umejitumaaaa, umesimamia kuchaaa, umecheza kidukuuu lakini ukiwaachia tu pale penyewe badala wakimbie fasta kwenye yai kama relay , yaani scramble for the fittest wanaleta pozi, *****.
Pia, kuhusu shape of sperm head inabidi iwe sharp pointed ili inase kwenye yai. Sasa wa kwako wanafocus zaidi kwenye editing hawanyooki.
N/B, just meant to make you smile bro. But you get the idea.😉
In layman's language sperm wako wanaleta uboya katika kazi za kiume.
Yaani umejitumaaaa, umesimamia kuchaaa, umecheza kidukuuu lakini ukiwaachia tu pale penyewe badala wakimbie fasta kwenye yai kama relay , yaani scramble for the fittest wanaleta pozi, *****.
Pia, kuhusu shape of sperm head inabidi iwe sharp pointed ili inase kwenye yai. Sasa wa kwako wanafocus zaidi kwenye editing hawanyooki.
N/B, just meant to make you smile bro. But you get the idea.😉
Nimecheka pia.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Pole mkuu Dimma. Mungu mwema utapata watoto tu. Fanya subira fanyaneni kwa bidii na kuleni vyakula lishe. Tunawaombea heri [emoji1431]
Mkuuu ,,take her mkono kwa mkono ..nenda umpimishe mpo naye.
Moja ya jambo ambalo mwanamke hatokuja kusema ukweli
--nikm anajua hawezi kuzaaa .
usiyaamin sana maneno yake kabisaa .mwende wawili wamchek mbele yako..
Lkn pia Kwamajibu yoyote yatakayokuwepo Huyo nimkeo natabak kua mkeo na KUZAAAL NIMAJALIWA WENDA MNAKULANA SIKU ZISIZONAKITU,, ALAFU SIKU ZENYE KITU NDO MNAPUMZIKA.
Nakm utathibitisha yupo sawa ,,naomba tuwasiliane ,,, wanawake wengi husumbuliwa nakitu kinaitwa "Mchango" bila kuiondoa iyo hata km anamayai ya mapacha mapacha HATOBEBA MIMBA NG'OOOOO NA HOSPITAL UNAAMBIWA MKEO YUPO SAWA NAWW UPO SAWA.ahsante sana chief Putin kwa ushauri wako murua kabisa. Nitazingatia uliyonieleza ndugu yangu. Shukrani
Si bora kutembea?mkuu, unamaanisha sperm zangu hazina speed ya kutosha? zinatembea badala ya kutoka nduki?
Nakm utathibitisha yupo sawa ,,naomba tuwasiliane ,,, wanawake wengi husumbuliwa nakitu kinaitwa "Mchango" bila kuiondoa iyo hata km anamayai ya mapacha mapacha HATOBEBA MIMBA NG'OOOOO NA HOSPITAL UNAAMBIWA MKEO YUPO SAWA NAWW UPO SAWA.
Na mpwa Wangu mmoja,, Kubeba mimba ilishindikana lkn Hospital kila kipimo anaonekana yupo sawa ,,kumbe alikua namchango " Wamama hii wanaijua sana" ......Akapatiwa dawa,, katumia wiki mbili Kichefu Mara kitu ikooooo saizi Toto lake linamiaka 3 bongeeeee na anamimba tena ( jamaa wake Hataki masiala)[emoji23] [emoji23]
so ukishampima akawa poa nabado kuna hilo tatizo Tichekiane mkuuu..
Wanaume hatutupanigi .
Upo fresh mkuu. Nasikia "dogggy" inafaa sana katika "kilimo cha watoto" hasaa wakati wa asubuhi.
Si bora kutembea?
Mario hao.