Ulipaswa uende nae hospital, anaweza akapimwa akaambiwa hana uzazi lakini akakudanganya kwamba yupo OKMiezi minne iliyopita alichekiwa kwa 'utrasound' wakasema yupo okay. Kwa mujibu wa maelezo ya wife
Hata hivyo hivyo volume ni ndogo aisee!! Yaani kakaa zaidi ya siku mbili bila kuejaculate, halafu kapiga nyeto bao la kwanza tu volume ni 2mls!!!Kulingana na lab results hauna tatizo la kikufanya ushindwe kumpa mwanamke ujauzito.
Kila kitu Kipo sawa .
Pia ktk harakati zako zote za kutafuta mtoto ujue kua fertilization occurs by chance.
Asante
Unasex na mkeo, ukitaka kumwaga, unamwagia kwwny kicontainer fulan, then unaziwahsha hosp withn an hour. Na utunzaji wake ukiwa unazwahsha hosp unashauriwa zipate joto la mwili wako.Ndio hapo sasa ....watujuze
Napata ukakasi na maelezo ya mkeo. Yawezekana kuna jambo analijua lakini analificha na hayupo muwazi kwenye hilo jambo. Samahani kwa kutumia hayo maneno lakini kuna wakati unatakiwa ujiongeze. Kwa ujumla, hayo maelezo yake yanatakiwa ayathibitishe kwa uwepo wa cheti kutoka kwa wataalamu. Na ikiwezekana usimamie vilivyo hilo zoezi.Miezi minne iliyopita alichekiwa kwa 'utrasound' wakasema yupo okay. Kwa mujibu wa maelezo ya wife
Nilikuwa na tatizo kama lako,nikaenda hospital wakasema sperm hazina matatizo.basi nikachepukia kwenye mizizi sasa hivi nina watoto watatu.
Kula Mbegu za maboga kwa sana tafuna.
Napata ukakasi na maelezo ya mkeo. Yawezekana kuna jambo analijua lakini analificha na hayupo muwazi kwenye hilo jambo. Samahani kwa kutumia hayo maneno lakini kuna wakati unatakiwa ujiongeze. Kwa ujumla, hayo maelezo yake yanatakiwa ayathibitishe kwa uwepo wa cheti kutoka kwa wataalamu. Na ikiwezekana usimamie vilivyo hilo zoezi.
Duh, we Nhendegwa wewe, kwenye mbegu zangu kuna usaha??!!
Kwenye majibu ya vipimo pale mwishoni Other findings "Few pus cells........semen (+). Muulize daktari aliye karibu nawe akusaidie