Anne Maria
JF-Expert Member
- Mar 22, 2012
- 399
- 98
- Thread starter
-
- #21
Anne Maria mie ningechangia, lakini hizo sifa kwenye bold sina..................LOL
Duh, hii maneno akiona mama Ngina kitanuka home..................!
Anne Maria mm vigezo ninavyo ila naamini ukija nisaidia PULL nitajaza angalau kijiko cha chakula, na mzigo huo ni bure utaondoka nao bila masharti tuwasiliane namna ya kuja chukua mzigo wa shost wako, sifa ingine huwa nafyatua vi-Queen zaidi
Mi nitakupa Sperm bure,
But niletee mtu basi tusaidiane kuzitoa maana puli siwezi!!
Sijakataa MVUMBUZI.... na ndo maana ni choice si lazima,, kuna good hearted pipo who are willing to help others they can assist my friend in thisHakuna mwanaume ana shida kubwa kiasi hicho kutoa sperm zake kwa staili hiyo. Ni kwamba wanaume wenye sifa zilizotajwa ni wastaarabu sana na hakuna atakayetaka ku donate kwani hana cha kupoteza hata asipotoa.
When you present a thing like that you must be of a postive opinion towards it,
Mana zipo hapa ila kutia kwenye kichupa no,njoo tu uzifuate live,halafu angalia madhara ya vitoto vya kwenye kichupa hapo kwenye avatar yako huyo mtoto akikua sijui kama atakubali kwamba wewe ni mama yake
haya nipelekee test tube nikujazie. ushindwe mwenyewe
god fearing?
halafu masharti yoote hayo fo free?
Nini kitammotivate donor
Kamchezo kwa nn kasihusike jamani mweeeeeeeeeeee????
Me naweza pia na vigezo zaidi ya hvy ni pm basi!!!!
...Hutaki sasa? lol! shurti zitiwe kwenye kichupa kwanza akazipime kama ziko salama 🙂 halafu anajimiminia mwenyewe akiwa faragha na kuweka miguu juu kwa masaa mawili halafu kusubiri kama mambo yamejipa lol!
wewe kubali kale kautamaduni cha wazee wetu au wamasai.acha mama agawe ka-mchezo kwa siku moja halafu u-enjoy for the rest of your life na huyo mtoto.
Mimi niko tayari kwa sharti moja tu,lazima nipewe mzigo kamwe sitaki kudonate hewani au kwenye kibobo.
Will you pay me?
God fearing huku mtoto atengezwa kwa puli?? kaz kwelikweli
No donation bila kamchezo hapa??
Am ready ila bila makutano ya mwili duh........napata maumivu ya kichwa
...ningechangia, ila mi ndio wananitumia mtaani kuwatisha watoto wasiotaka kula na vikojozi...
thijawahi.....................maumivu ya nini sasa hapo kwani we kamchezo hujawahi kujifanyia kweli mmhh?? hahahhaha