Sperm donor needed

Kwenye highlight, kumuona sura yake ruksa?
 
 
God fearing? Afu 3 to 5 sioni za nini wakati hataki kuwa na mahusiano na huyo mtu baada ya kuzaa.

Anyways, good luck
 
 
God fearing? Afu 3 to 5 sioni za nini wakati hataki kuwa na mahusiano na huyo mtu baada ya kuzaa.

Anyways, good luck

Thank you,, ni kwamba angependa donor awe na hizo genes amrithishe mwanae lakini kinachomzuia mahusiano ni kutokana na yaliyompata ingawa i try to tell her kuwa hata kama ni HIV positive she could still meet another man who will heal her broken heart afta the death of her husband,, kwakweli si kwamba ni right option lakini its what she has opted due to her distress mimi i wont judge kwakweli i sort of sympathize with her
 
What is in for the donor,just nijisikie tuu kuchangia..!!!!!!!!!!!!!11selfish women!!!!!!!!!!!!!!!agrhhhhhhhhhhh
 
sasa ntazitoaje hizo sperm kwenye bomba langu maana sijawahi kupiga pichu,nipo tayari kutoa.
 
Aiseee baba yangu aku mi sitaki nisije nikatoa zangu ukapeleka kwa dada yangu ikawa balaa

ngoja nikate mbege
 
Nipm picha yake nimuone asije kunizalia kituko coz damu ya mtu haipotei. kabla sijampm mwambie anipm kwanza. mia
 
Mie niko tayari,tatizo ni njinsi ya kuzitoa hizo ndude mwilini kwangu.natumia mbinu gani?
 
hakika umagharibi unatupeleka pabaya.
Kila wanachofanya nasi tunaiga.
AmaKweli kusoma sio kuelimika.
Sory, napita tu.
 

Hapo juu kwenye red, God fearing?........ nani ambaye mwenye hofu ya Mungu kiukweli ukweli anayeweza kufanya hicho kitu? Na hicho kipengele cha mwisho (namba 5) kina umuhimu gani katika kuchangia hizo sperm au huyo mdada anaweza kubadili maamuzi baadae ili jamaa awe anaendelea kutifua mzigo? ina maana kuchangia sperm hadi awe na upendo wakati kid hatoonana nae?
 
Mi ninazo hizo Sifa zote hapo ila Ntakusaidia kwa Shs Milion 11 hivi..bei inaweza kushuka kidogo,naona watu wanauza figo nchi za nje walipe ada za vyuo ndo unazungumzia hili? kama una hio ela ni PM.Naitwa Bonnie Mushi
 

uwa napoteza sperm zangu bafuni kila kukicha kumbe ni dili? tafadhari kama inawezekana nitafutie wateja hata kumi wanilipe kilo kilo sio mbaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…