sperm kutoka zikikiwa zimegandana

o2s

Member
Joined
Mar 6, 2015
Posts
14
Reaction score
0
kama unaweza kunisaidia nisaidie kashfa na majungu hayajengi tatizo langu huwa namwaga sperm zikiwa zimeshikamana yaani ni kama mafuta ya mgando ndani ya majimaji au mda mwingine bila majimaji alafu ukizigusa zinavutika kama ulimbo mkavu mzito
je hili ni tatizo gani?
 
Jitahidi kunywa vimiminika kwa wingi..maji,juice n.k
 
Dalili za ukimwi hizo wahi kupima uanze kutumia dozi
 
Kuna uwezekano, unakaa muda mrefu bila kujamiina...!
 
Ningekushauri uende hospitali kuwaona Wataalam zaidi lakini sioni kuwa kama una maradhi inategemea unakula vyakula vya aina gani vinavyozalisha Sperm zako nenda hospitali kawa one Ma-Daktari wakupime.
 
Ningekushauri uende hospitali kuwaona Wataalam zaidi lakini sioni kuwa kama una maradhi inategemea unakula vyakula vya aina gani vinavyozalisha Sperm zako nenda hospitali kawa one Ma-Daktari wakupime.

hospital gan inaweza kuwa best zaid
 
Unazikagua mara kwa mara shahhawa zako. That means unapiga punyeto mara kwa mara. Wewe unahitaji msaada wa vitu vingi sana basi tu hujijui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…