Spesheli ya watoto tu. Hasi na chanya

Wazazi/Walezi tujitahidi kuokoa hichi kizazi. Tuwe na mda wa kujua maisha ya watoto wetu kazi zisitufanye tuje kujutia badae, wafanyakazi wana nafasibyao ila bado unawajibika kama mzazi kulea mtoto wako kwa kuwa namda na watoto wako
Your browser is not able to display this video.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…