Wazazi/Walezi tujitahidi kuokoa hichi kizazi. Tuwe na mda wa kujua maisha ya watoto wetu kazi zisitufanye tuje kujutia badae, wafanyakazi wana nafasibyao ila bado unawajibika kama mzazi kulea mtoto wako kwa kuwa namda na watoto wako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.