Spesheli ya watoto tu. Hasi na chanya

Spesheli ya watoto tu. Hasi na chanya

😂😂😂😂 Msure nuksi.
haman nuksi wala nini mie nitaku msure poa kabisa yaani kwanza sharti la kwanza mie na wewe kupigana denda mbele ya watoto wetu ni lazima...waone kitu cha kawaida. pili ili kulichapa tako la mama yao nao waone baba yao akifanya.
sio watu mnaficha mapenzi lakini kila mwaka mama yupo labour
 
haman nuksi wala nini mie nitaku msure poa kabisa yaani kwanza sharti la kwanza mie na wewe kupigana denda mbele ya watoto wetu ni lazima...waone kitu cha kawaida. pili ili kulichapa tako la mama yao nao waone baba yao akifanya.
sio watu mnaficha mapenzi lakini kila mwaka mama yupo labour
Jamani kumwaga radhi mbele ya watoto 😅😅
 
Jamani kumwaga radhi mbele ya watoto 😅😅
ah radhi vipi tena wewe, ah yaani watoto wasione kuwa baba yao navutiwa na body la mama yao. nikipita jikoni nalichap tako kofi na busu. achana na unafiki wa kibongo kuwa hawapendi kudinyana wakati wao ndio kazi wanayoijua hapa duniani
 
IMG-20240915-WA0044.jpg

 
 

 
 
 
 
Back
Top Bottom