Spesheli ya watoto tu. Hasi na chanya

Nqkubaligi Sana nyuzi za mshana aiceee[emoji38][emoji38][emoji38][emoji10][emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji123][emoji123][emoji106][emoji120][emoji115][emoji115]
 
Sana aisee mimi pia nazikubali sana nyuzi zake ila ye mwenyewe simkubali
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji23][emoji23]loh baniani mbaya....! Nakuletea nanasi tamu la Msata utabadili tune mwenyewe
 
Hii methali huwa siielewi hebu nifafanulie boss. Nasubiri nanasi lakini bado hamu yangu ya ile kitu ipo
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji23][emoji23]loh baniani mbaya....! Nakuletea nanasi tamu la Msata utabadili tune mwenyewe
 
Hii methali huwa siielewi hebu nifafanulie boss. Nasubiri nanasi lakini bado hamu yangu ya ile kitu ipo
Baniani mbaya kiatu chake dawa.... Humpendi mimi.... Lakini unapenda post zake[emoji23][emoji23]
Mengine inbox [emoji307][emoji39][emoji85]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…