Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inauzunisha
Sana aisee mimi pia nazikubali sana nyuzi zake ila ye mwenyewe simkubaliNqkubaligi Sana nyuzi za mshana aiceee[emoji38][emoji38][emoji38][emoji10][emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji23][emoji23]loh baniani mbaya....! Nakuletea nanasi tamu la Msata utabadili tune mwenyewe
Baniani mbaya kiatu chake dawa.... Humpendi mimi.... Lakini unapenda post zake[emoji23][emoji23]Hii methali huwa siielewi hebu nifafanulie boss. Nasubiri nanasi lakini bado hamu yangu ya ile kitu ipo
imagine he is your son...... nimejaribu kuwaza nje ya box nikwann suala la maadili na tabia njema husukumiwa watoto wa kike tu..Imagine she is your daughter View attachment 968466
Enzi za utoto wako mkuu
Wikeend inasemaje[emoji23][emoji23][emoji23]