Spesheli ya watoto tu. Hasi na chanya

Mshana Jr umenikumbusha mbali sana , hii picha inajulikana kama ''struggling girl" lakini baadae ilijulikana kwamba ni mvulana . Ilipigwa na Kevin Carter huko Sudani Kusini ilionekana kwenye Gazeti la New York Times la March 26 1993 . Ni picha ya kusikitisha sana kwani alikuwa mita 50 tu kutoka kwenye kambi ya msaada wa chakula ya umoja wa mataifa. Kevin Carter alipewa zawadi ya Pulitzer Prize for Feature Photography . Lakini alijiuwa miezi minne baada ya kushinda zawadi alijiuwa. Huyu mtoto alikufa kutokana na njaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…