Unahangaika na huyo unafikiri hata anaelewabasi? Si angeanza kukemea watoto na wanafunzi kuhusishwa na uwendawazimu wa nyinyiemu?Soma heading tafadhali huku sio jukwaa la siasa bali ni mada ya watoto
Sijui ningefanya nni nimkute binti yangu wame mfanya hivi
Utundu umezidi
Haaaaa Haaaaa π πWatoto wasishirikishwe kwenye upumbavu wa chadema
Hahahaha kwa harakaharaka nilidhani katoka majipu makubwaView attachment 1591816
Nimewaleta matunda, maana mwalimu hayupo class mida hii