Spesheli ya watoto tu. Hasi na chanya

Your browser is not able to display this video.
 
😂🤣😂🤣 nimekumbuka mbali sana !mimi walikuwa wanafunga dole gumba langu plasta nikawa nafungua naendelea kulinyonya ,wakaona haitoshi wakawa wananipaka pilipili nikawa naosha na maji naendelea kulinyonya mpaka likaota sugu😂 kumbe wangegundua hivi labda wangenikomeshà.
 
Hahaha[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…