Duuuh, uyo mwamba siku akikamata iyo 'golden chance' ya uongozi mmmhh
Ila wazungu wakiwa wadogo wanakuga wacute sana..[emoji173]Wanafundishwa vitu umri huu,baadae wanakuja kwenye Olympic wanafanya vitu tunaona wazungu wachawi[emoji3525][emoji3525][emoji3525]View attachment 1934320