Spesheli ya watoto tu. Hasi na chanya

[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
 
Tahadhari,

Kumetokea sontofahamu moja hv nyumbani kwangu leo ambapo gari la mtoto lilipita mapema mno na wakaomba mtoto wa chekechea, wakisema gari yake ambayo inapitaga saa tatu imejaa, tukastuka kidogo na kusema hapana, wale jamaa kuona hilo hata hawakuongea wakaondoka, tunapiga simu shule tunaambiwa hakuna kitu kama hicho. Chukua tahadhari kama mzazi.. ...wameanza tena.Mkoa wa Dar es Salaam. Ikumbukwe pia kuwa school buses zipo nchi nzima na watoto wetu wote wapo vulnerable. Tusambaze ili wazazi tusiwe tunachukua majibu mepesi

Please send this to many Groups as much as possible
 
Hapana yenu naamini imemwokoa mtoto. Poleni na pongezi kwa kutoa angalizo na tahadhari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…