Spesheli ya watoto tu. Hasi na chanya

Spesheli ya watoto tu. Hasi na chanya

Ndugu zangu, Nasikitika kuwajulisha kuwa binti yangu Site Faith ametoweka nyumbani tulipokuwa tukimuandaa kurejea shuleni. Anasoma St Agustine Tagaste anapotakiwa kuanza Kidato cha nne. Tunadhani hakupenda kuendelea na Shule hiyo akidai they are too strictView attachment 1674396
Jamani si angetulia Tu akamalizia huu mwaka.Shule nzuri Sana hiyo.Poleni .
 
JamiiForums-1769973853.jpg
 
Back
Top Bottom