Spesheli ya watoto tu. Hasi na chanya

Spesheli ya watoto tu. Hasi na chanya

Huyu aliefiwa ni wifi yangu!
Kwa kweli ni majonzi makubwa sana katika familia.
Yaani hadi sasa kama tumepigwa ganzi. Hatuelewi yani.

Well, hii story imepindishwa kidogo, mama hakuwepo nyumbani wakati tukio linafanyika.

Alikua njiani kurudi home akitokea kazini, ndo dada alimpigia simu kumwambia mtoto haamki na anaona Kawa wa baridi.

Mama kakimbia kuwahi nyumbani, kakuta mtoto kapoa ila miguu bdo ina joto. Since ni daktari, akajua ni alama za hatari...kamkimbiza mloganzila ila ikawa kashafariki.

Huyu dada wa kazi ni mgeni, kaletwa jmosi yoka Tanga, so jpili mtoto alitoka na wazazi kutwa nzima.

Jana ndo dada kabaki na mtoto jioni aliporudi toka shule,na ndo kamnyonga (camera za ndani zilionesha)

So dada kashikiliwa polisi, na alipohojiwa kwa nini kafanya hivyo anasema yy ni agent, katumwa!
So dada kashikiliwa polisi, na alipohojiwa kwa nini kafanya hivyo anasema yy ni agent, katumwa![emoji25]
 
IMG-20220601-WA0514.jpg
 
Back
Top Bottom