Sheria za ngumi enzi za utoto zilikuwa ni kama ifuatavyo:-
.Kupigana mara nyingi ilikuwa ni mpaka mchonganishwe
.Kabla hamjapigana mlipewa nafasi kwanza ya kuvua mashati na kama Kuna mwenye viatu ñae atavua
.Wakati mnazichapa ukitoka damu au ukitoka nundu basi unakuwa umepoteza pambano
[emoji23]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.