Spesheli ya watoto tu. Hasi na chanya

Spesheli ya watoto tu. Hasi na chanya

9362a96db0d253e3d2168af2b005d7b3.jpg
 
Sheria za ngumi enzi za utoto zilikuwa ni kama ifuatavyo:-
.Kupigana mara nyingi ilikuwa ni mpaka mchonganishwe
.Kabla hamjapigana mlipewa nafasi kwanza ya kuvua mashati na kama Kuna mwenye viatu ñae atavua
.Wakati mnazichapa ukitoka damu au ukitoka nundu basi unakuwa umepoteza pambano
[emoji23]
FB_IMG_1710064485939.jpg
 
Back
Top Bottom