Spider Mousa Camara ndiye kipa bora kwasasa nchini Tanzania na Afrika kwa ujumla

Spider Mousa Camara ndiye kipa bora kwasasa nchini Tanzania na Afrika kwa ujumla

Golikipa namba moja wa Simba SC Camara kwa sasa ni kipa namba moja Tanzania na Afrika

Twende kazi kwa uchambuzi zaidi

Ukibisha sikushikii kiboko
Hakuna anayebishana na wewe mkuu
 

Attachments

  • images (8).jpeg
    images (8).jpeg
    28.8 KB · Views: 4
  • images (6).jpeg
    images (6).jpeg
    51.7 KB · Views: 4
Huyu si ni yule aliyepigwa magoli 3 na Utopolo, magoli 2 yalikataliwa na waamuzi!

😃😃😃😃
 
Afadhali ungesema Tanzania pekee, Umewezaje kumpima na magolikipa wa Afrika yote WAKATI hawachezi ligi Moja hata mashindano ni tofauti? Ningekuelewa kidogo kama ungemlinganisha na magolikipa wenzake wa shirikisho.
Ingekuwa busara kumlinganisha Camara na makipa wenzake wa Simba kama Manula, Ayubu au Ally Salim hapo hamna povu!!
 
Golikipa namba moja wa Simba SC Camara kwa sasa ni kipa namba moja Tanzania na Afrika

Twende kazi kwa uchambuzi zaidi

Ukibisha sikushikii kiboko
Ndiyo huyu aliyepigwa goli matata la tobo na Max Nzengeli kwenye mechi ya mwanzo ya Ngao ya Jamii msimu huu, au namfananisha!!
 
Golikipa namba moja wa Simba SC Camara kwa sasa ni kipa namba moja Tanzania na Afrika

Twende kazi kwa uchambuzi zaidi

Ukibisha sikushikii kiboko
Hii mihemuko ya vijana w 2000 taabu kwelikweli. Wanaropoka tu linalowajia.
 
Ndiyo huyu aliyepigwa goli matata la tobo na Max Nzengeli kwenye mechi ya mwanzo ya Ngao ya Jamii msimu huu, au namfananisha!!
YES NDIO HUYU HUYU ALIYEFUNGWA GOLI LA MBALI NA KIBU DENIS AKADONDOKA CHINI NA KUBINUA MAKALIO.
 
Kipimo cha Camara ni derby ya kariakoo , akipigwa 7 October, hat trick ya Dube hatutaki makolo mseme Spider kapewa mlungula!!

mechi ya ligi ya mademu shirikisho si ya kumsifia Camara!! Hata Air Manula mlimsifia sana ila hivi sasa keshakuwa adui yenu kwa zile goli tano za Yanga.

Hii leo simba mdebwedo kushinda timu mbovu inaitwa siku nzuri kazini tu au saa mbovu kupatia majira, kipa bora wa muda wote bado ni Diarra ana clean sheets mechi mbili Klabu bingwa, kombe la wanaume!!
Hivi yanga mnataka kusema nyie mko poa? Ile timu ya Ethiopia mbovu vile ndo mnataka mpige kelele?Mavi yenu
 
Hivi yanga mnataka kusema nyie mko poa? Ile timu ya Ethiopia mbovu vile ndo mnataka mpige kelele?Mavi yenu
Wewe ni mbumbumbu og, huwa tunawajua kwa matusi laivu. Makolo mmejaa nongwa na gubu kwa vile Yanga tuko ligi ya wanaume na tunakomba pesa ya Mazeri nyie mnaambulia makombo tu.

Hii ligi ya shirikisho la mademu mnayocheza nakuhakikishia hamfiki robo fainali. Niko paleee maskani Buza Mpalanger kwa wajanja!!
 
Kipimo cha Camara ni derby ya kariakoo , akipigwa 7 October, hat trick ya Dube hatutaki makolo mseme Spider kapewa mlungula!!

mechi ya ligi ya mademu shirikisho si ya kumsifia Camara!! Hata Air Manula mlimsifia sana ila hivi sasa keshakuwa adui yenu kwa zile goli tano za Yanga.

Hii leo simba mdebwedo kushinda timu mbovu inaitwa siku nzuri kazini tu au saa mbovu kupatia majira, kipa bora wa muda wote bado ni Diarra ana clean sheets mechi mbili Klabu bingwa, kombe la wanaume!!
Al Ahli tripoli ni timu ndogo kufungwa na Simba?
 
Back
Top Bottom