Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Hakuna anayebishana na wewe mkuuGolikipa namba moja wa Simba SC Camara kwa sasa ni kipa namba moja Tanzania na Afrika
Twende kazi kwa uchambuzi zaidi
Ukibisha sikushikii kiboko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna anayebishana na wewe mkuuGolikipa namba moja wa Simba SC Camara kwa sasa ni kipa namba moja Tanzania na Afrika
Twende kazi kwa uchambuzi zaidi
Ukibisha sikushikii kiboko
Ingekuwa busara kumlinganisha Camara na makipa wenzake wa Simba kama Manula, Ayubu au Ally Salim hapo hamna povu!!Afadhali ungesema Tanzania pekee, Umewezaje kumpima na magolikipa wa Afrika yote WAKATI hawachezi ligi Moja hata mashindano ni tofauti? Ningekuelewa kidogo kama ungemlinganisha na magolikipa wenzake wa shirikisho.
Ndiyo huyu aliyepigwa goli matata la tobo na Max Nzengeli kwenye mechi ya mwanzo ya Ngao ya Jamii msimu huu, au namfananisha!!Golikipa namba moja wa Simba SC Camara kwa sasa ni kipa namba moja Tanzania na Afrika
Twende kazi kwa uchambuzi zaidi
Ukibisha sikushikii kiboko
Hii mihemuko ya vijana w 2000 taabu kwelikweli. Wanaropoka tu linalowajia.Golikipa namba moja wa Simba SC Camara kwa sasa ni kipa namba moja Tanzania na Afrika
Twende kazi kwa uchambuzi zaidi
Ukibisha sikushikii kiboko
YES NDIO HUYU HUYU ALIYEFUNGWA GOLI LA MBALI NA KIBU DENIS AKADONDOKA CHINI NA KUBINUA MAKALIO.Ndiyo huyu aliyepigwa goli matata la tobo na Max Nzengeli kwenye mechi ya mwanzo ya Ngao ya Jamii msimu huu, au namfananisha!!
umbumbu unayasumbua makoloGoal keeper Bora acheze mashindano ya akina Mama?
CCM maviYanga BINGWA
Hivi yanga mnataka kusema nyie mko poa? Ile timu ya Ethiopia mbovu vile ndo mnataka mpige kelele?Mavi yenuKipimo cha Camara ni derby ya kariakoo , akipigwa 7 October, hat trick ya Dube hatutaki makolo mseme Spider kapewa mlungula!!
mechi ya ligi ya mademu shirikisho si ya kumsifia Camara!! Hata Air Manula mlimsifia sana ila hivi sasa keshakuwa adui yenu kwa zile goli tano za Yanga.
Hii leo simba mdebwedo kushinda timu mbovu inaitwa siku nzuri kazini tu au saa mbovu kupatia majira, kipa bora wa muda wote bado ni Diarra ana clean sheets mechi mbili Klabu bingwa, kombe la wanaume!!
Wewe ni mbumbumbu og, huwa tunawajua kwa matusi laivu. Makolo mmejaa nongwa na gubu kwa vile Yanga tuko ligi ya wanaume na tunakomba pesa ya Mazeri nyie mnaambulia makombo tu.Hivi yanga mnataka kusema nyie mko poa? Ile timu ya Ethiopia mbovu vile ndo mnataka mpige kelele?Mavi yenu
Al Ahli tripoli ni timu ndogo kufungwa na Simba?Kipimo cha Camara ni derby ya kariakoo , akipigwa 7 October, hat trick ya Dube hatutaki makolo mseme Spider kapewa mlungula!!
mechi ya ligi ya mademu shirikisho si ya kumsifia Camara!! Hata Air Manula mlimsifia sana ila hivi sasa keshakuwa adui yenu kwa zile goli tano za Yanga.
Hii leo simba mdebwedo kushinda timu mbovu inaitwa siku nzuri kazini tu au saa mbovu kupatia majira, kipa bora wa muda wote bado ni Diarra ana clean sheets mechi mbili Klabu bingwa, kombe la wanaume!!
Kwenye rank za CAF iko nafasi ya ngapi?Al Ahli tripoli ni timu ndogo kufungwa na Simba?
Na Leo ilibaki kdg tu nivile kijili kajiweka.Ndiyo huyu aliyepigwa goli matata la tobo na Max Nzengeli kwenye mechi ya mwanzo ya Ngao ya Jamii msimu huu, au namfananisha!!