sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
- Thread starter
- #41
vunja bei anapanda dala dala zipi??Kwa hiyo wewe nawe ni great thinkerš¤£
Ok twende hivyo hivyo bwana great thinker, nilichoomanisha mimi si viazi, isipokuwa viazi ni mfano tu wa kuwa,, mtu una kila lkn unajidhiki mpaka kula yako, mtu una kila kitu mpaka magari pia unayo lkn hapo hapo unapanda daladala na haya mambo pia yapo na tunajionea,,, na hasa wale wanaojiita magreat thinkers wengi wachawi tu,,,
tatizo lako unafanya generalization