Spika aagiza mwandishi Pascal Mayalla na Wahariri wa gazeti la Raia Mwema wahojiwe kwa kulidhalilisha Bunge

KAMA SPIKA ANAONA BUNGE LAKE HALIKUTENDEWA HAKI AENDE MAHAKAMANI SIO KUTISHA WATU AU AENDE KWA PRESS OMBUDSMAN(UDIKTETA WETU SIJUI KAMA TUNAYE HUYU).
 
Duuu. Umemdakia juu kwa juu na kumshambulia
 
Pascal ni mjasiriamali kwahiyo sioni namna adhabu yoyote ya bunge itakavyomuathiri labda kama ametenda jinai!
 
haya magamba yaache kutuzingua hapa.....kwani alichoandika Paskali ni uongo??
 
Kwa hiyo unataka kutulazimisha tufurahi hata kwa mambo ysiyotufurahisha?...Kweli uzalendo wa muongo huu kazi

Haya nimefurahi HiHi HiHi hiiiiiiiii 😀😀😀😀
Kwa hiyo Kuna watu maalum wa kulikosoa bunge? Akilituhu Makonda ahojiewe akilikosoa Paskali Mayalla asihojiwe?
 
Hii imekaa vizuri...

Paskal amepata nafasi ya kwenda kuongea nao face to face na kuwakumbusha maana na utofauti wa 'mhimli wa bunge' na 'mhimili wa wabunge'

hoja hujibiwa kwa hoja
Nguvu ya hoja ama Hoja ya nguvu... itajulikana akitinga huko mjengoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…