Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umewafanya nini?Duuh Pascal....
Kwa hiyo unataka kutulazimisha tufurahi hata kwa mambo ysiyotufurahisha?...Kweli uzalendo wa muongo huu kaziAlipohojiwa bashite watu walifurahi sana. Paskali mayalla yeye nani?
Umeshatoka kwa DAB kumtafuta Baba wa watoto wako uliotelekezewa??Wanyang'anywe leseni za Kazi na gazeti lipewe life Ban!
Sasa mbona hili ni swali?Spika Job Ndugai ametoa maagizo kwa Kamati ya Maadili ya Bunge, kumhoji Mwanahabari Pascal Mayalla na Wahariri wa gazeti la Raia Mwema kwa kuandika makala ikiwa na kichwa "Bunge linajipendekeza?"
View attachment 742128
Makala hiyo inayodaiwa kulidhalilisha Bunge ilitoka kwenye toleo la Jumatatu tarehe 9 Aprili 2018.
View attachment 742114
Taarifa zaidi zinafuata...
Kama na wewe mwandishi basi wandishi wameishasisi wanahabari tunaojielewa na kuhoji tunatafutwa sana
Mbona kwa Bashite hamkuhoji kazi ya kamati ya maadili?Hivi hii kamati ya maadili ya Bunge kazi yake ni kudhibiti maadili ya wabunge au umma?....manake ni kama hii kamati ndiyo polisi na mahakama
Heri Kisanduku makapero keshaenda kumdaka yupo chini ya Ulinzi anahojiwa na Cyprian Msiba kwanza kisha apelekwe shimoni akalazimishwe aseme kila analoandika huandika baada ya kuchukua pesaPascal yupo wap leo
Bunge wameamua kumfanyia promotion Paskal mayala angalau apate cheo cha katibu Tawala hata zile wilaya za mipakaniKama vipi Pascal Mayalla na yeye atayarishe majibu kama yale ya Zitto Kabwe aliyoyatoaga kwenye ile kamati nadhani ilikua ya maadili mpaka jamaa wakaamua kuahirisha kumuita maana majibu yale yalikua hawayawezi kutoa majibu
Wabunge wanataka kumsaidia apate cheo ndiyo maana wanazuga kumwitamziki huu unachezeka tuu pascal cheza nao
Umuandika mwenyewe au umedukuliwaWanyang'anywe leseni za Kazi na gazeti lipewe life Ban!