Spika aahirisha safari ya Marekani

Mimi nataka kuisikia sababu iliyomfanya aahirishe. Vinginevyo, aidha kuna kujiuzulu kwa baraza la mawaziri au kujiuzulu kwa Waziri Mkuu.

Kuna kitu unakijua lakini hutaki kukisema, sie tuliokula chumvi nyingi tushajua.....

Anyway check ur PM kuna kuna some clue sitaki kumwaga kuku kwenye mtama mwingi oooppps sorry! should be other way round
 
Ni ajabu na kweli kwamba "Habari Leo" wameandika habari hii, maana wao ni chombo cha sirikali na wamekuwa wakishabikia kila upumbavu wa sirikali. Inakuwaje leo wanamgeuka Karamagi (sirikali)?

Idimi,
Ni kweli kabisa, hawajamaa wanapolish news kijinga kila siku to the benefit of sisiem na serekali mpaka wakati mwinginew wanajipofua wenyewe....Naona kaupepo ka sisiem..kubadili misingi yao fulani..unasikia raisi anasema..ni mwaka wa sisiem kujenga mahusiano na wapinzani..Ameyaona ya KIBAKI? ..unaona hao wabunge...wamebadili mwelekeo..!!!!
 
Kuna kitu unakijua lakini hutaki kukisema, sie tuliokula chumvi nyingi tushajua.....

Anyway check ur PM kuna kuna some clue sitaki kumwaga kuku kwenye mtama mwingi oooppps sorry! should be other way round

Sasa nyie wakuu mbona mnaanza kutubagua watu wa chini? Mnapeana ulaji kwenye PM? Sawa mkuu tutaonana huko mbele!

Ila hata mimi nahisi Mwanakijiji ana ujumbe mzito ambao hataki kuutoa.
 
Mimi nataka kuisikia sababu iliyomfanya aahirishe. Vinginevyo, aidha kuna kujiuzulu kwa baraza la mawaziri au kujiuzulu kwa Waziri Mkuu.

MMK;

Nilikuwa na strong feelings kuwa ni ... sababu gani? Maana lazima itakuwa ya "kuvutia"
 
Sasa nyie wakuu mbona mnaanza kutubagua watu wa chini? Mnapeana ulaji kwenye PM? Sawa mkuu tutaonana huko mbele!

Ila hata mimi nahisi Mwanakijiji ana ujumbe mzito ambao hataki kuutoa.

Mtanzania,

Mkjj kwa siku za karibuni amekuwa anasubiri mpaka chakula kinapoa ndio anakileta hapa JF! inabidi apewe a lit visit this weekend kujua nini kinaendelea huko kijijini!
 
Kamati ya uongozi ya wabunge wa CCM wamekaa leo kuanzia saa nane hadi saa kumi na nusu jioni na ilikuwa inaongozwa na Lowassa akishirikiana na makamba ,na jua kuwa wajumbe wa kamati ya uongozi ni wabunge wote wa CCM ambao ni wajumbe wa kamati kuu ya CCM.
 
The good thing i can see fm the way Mr. Six plays the game as Speaker ni kuwa anajitahidi kwa njia zote kulinda masilahi ya mafisadi ndani ya CCM lakini at the end anajikuta anapoteza kwa faida ya opponent side. Ukiangalia sakata la BOT na BUZWAGI, the man refused to form Kamati ya Bunge kwa ajili ya kuchunguza akifikiri kwa kufanya hivyo atakuwa amemaliza soo kumbe watoa hoja walikuwa na vision ya mbali zaidi yake kwani waliporudi kwa wananchi mambo yalibainika zaidi kuliko kama yangefanywa ndani ya Bunge, Sitta na CCM wakawa defeated totally. Kwa hili la ziara ya Marekani na kuzuia mijadala ya mambo nyeti mpaka atakaporudi, nahisi kuna watu ndani ya CCM wameshtuka kwa ukubwa wa reaction ambayo ingetokea sio tu ndani ya Bunge ila hata nje ya Bunge hivyo wakaamua kumkataza asiondoke ili kupunguza impact ya huo mlipuko. "LET'S KEEP SHOUTING ALTHOUGH THEY'RE PRETENDING TO BE DEAF BUT THE STRENGTH OF OUR NOISES WILL KEEP THEIR BODIES SHAKING ALL THE TIME..."
 
Ebwana weee
Kwani Sita tangia lini alikua na safari ya US??

Jamaa alikua anakwepa asiombwe ripoti ya Richmord na akiwategeshea wabunge wapitishe kimeo kingine cha tanesco.

Sasa wabunge wamemchunguria ikabidi atoke mafichoni fasta
 
Mtanzania,

Mkjj kwa siku za karibuni amekuwa anasubiri mpaka chakula kinapoa ndio anakileta hapa JF! inabidi apewe a lit visit this weekend kujua nini kinaendelea huko kijijini!

Mwafrika wa Kike,

Nina wasiwasi kweli na Mwanakijiji maana toka aseme anaacha kuandika makala za Lowassa, amekuwa sio mtu wa data tena. Labda mwenzetu kisha katiwa kidogo zile za BOT.

Siku hizi anaongea na Meghji na Ballali, kuna usalama hapo kweli?
 
mawazo na mambo yote Kiteto...haya mengine yanakuja pole pole.. ila bi mdogo sitajali sana kupata special visit maana wakati mwingine hata togwa huzimuliwa.
 

Kwi kwi kwi

Issue ya BoT iko kwenye very thin line, ni prisoner dilemma hapa kama umecheza game theory. Inaonekana hicho kinachokusanywa kuhusu Lowasa ni kikubwa mno au inawezekana pia Bi senti 50 (sijui yuko wapi siku hizi) amefanikiwa kumshawishi aachane na issue za Lowasa!

Hayo ya Meghji na Balali we yaache tu kwa sasa maana usalama kwa kweli inaonekana haupo kabisaaaaa! Naomba tu wasijempa sumu mzee wetu wa kijiji!
 
Mimi nataka kuisikia sababu iliyomfanya aahirishe. Vinginevyo, aidha kuna kujiuzulu kwa baraza la mawaziri au kujiuzulu kwa Waziri Mkuu.

Labda alikuwa anakwenda kufanya shopping au naye alikuwa anakwenda kumuona "mgonjwa".
 
Speaker calls off his US trip
LEONARD MWAKALEBELA in Dodoma
Daily News; Monday,February 04, 2008 @18:02
Also in the News

THE Speaker of the National Assembly, Mr Samuel Sitta, has called off his planned trip to the United States, amidst growing pressure from Members of Parliament who want immediate and in-depth debate on Parliamentary team report on Richmond power deal.

The Deputy Speaker, Ms Anne Makinda, told the House today that the Speaker who was scheduled to travel today has cancelled the trip and would today lead parliamentary session.

She could not however give further details including reasons behind the cancellation. Mr Sitta could not be reached for comments today. Last Thursday the Speaker announced in the House that he would be travelling to the US for an official tour, and that he would return next week.

When handing over the chair to the Deputy Speaker, he directed that all sensitive debates especially on Richmond power deal and BoT report were supposed to wait until he comes back.

"He hasn't given me the reasons but he's coming back to lead Parliamentary businesses. He has already informed his hosts over the cancellation, and they have agreed to fix another date for the tour," the Deputy Speaker told this paper outside the House.

Information had it that the Speaker was forced to cancel the trip after consultation with other top leaders so that he would lead the House to debate on the two much awaited reports. Some MPs who talked to this paper commended the Speaker's decision saying the decision was wise and patriotic.

"He has made a wise decision and I commend him for that because the MPs want the reports to be critically debated now in the interest of the nation. The trip could have delayed the debates and that would not be healthy," commented Dr Wilbrod Slaa (Karatu-Chadema) and the Secretary General of Chadema party.

Last Saturday, the MPs refused unanimously to listen to Energy and Minerals Minister Nazir Karamagi at a seminar convened to discuss The Electricity Act, 2007 and the Petroleum Supply Act, 2007. Among other things, the MPs demand to see the report of the probe team on the controversial Richmond contract before they discuss the Bills.
 
Naam, moto umeanza. Ikiwa Lowassa na makamba walijifungia kwa masaa matatu wakitupa cheche, ujue mkao wa kuungua waja!


http://www.mwananchi.co.tz/newsre.asp?id=4327
 


LOL, lakini katika prisoner dilemma, inajulikana ni wapi penye unafuu..wa win-win situation. Katika hili, challenge ni kuwa je waliomo kwenye game wanatambua watokeje? manake wakikosea kidogo tu ndo ivo tena they are in for it
 
Ubalozi wa Marekani ulishauri kuwa ziara ya kutembelea Bunge la Marekani inaweza kuhairishwa....
 
Kitendo cha Supika Sitta kuacha kwenda safari ghafla na huku alisha tangaza hali mbaya Bungeni naamini kina Jambo. Niko Dodoma najaribu kuzitafuta sababu za kuvunjwa kwa safari yake lakini sijapata lolote .Usiri na wasi wasi vimetanda sana hapa Dodoma .Lowasa hana raha kabisa na sijui kuna nini hasa .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…