Spika amlima barua Rais akitaka maelezo kwanini usalama walivamia Bunge

Huyu wetu ni butu haijawahi tokea.
Hawezi fanya hivyo.
 

Hio ilikuwa baaada ya kuulizwa watu waliongi bungeni ni kinanani?? na je yeye ama segent at arm anawajua akabaki midomo wazi bila jibu so ndo akaanza kutafuta namna ya kujikwamua
maana upinzani ulishamwambia aombe msamaha kwa yalenyaliyotokea bungeni na yeye akagoma
sasa acha tusubiri itakuwaje na kunabkesi mahakamani inamhusu yeye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…