Spika Dkt. Tulia alishambulia gazeti za Raia mwema, adai linaongoza kwa upotoshaji nchini

Spika Dkt. Tulia alishambulia gazeti za Raia mwema, adai linaongoza kwa upotoshaji nchini

Kinuju

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2021
Posts
2,386
Reaction score
5,325
Spika wa bunge Dkt. Tulia Ackson amesema gazeti la Raia Mwema ni wapotoshaji wakubwa wa habari hapa nchini baada ya kutoa habari mfululizo za kulishambulia Bunge, Sabaya na Makonda bila ushahidi na sababu zozote.

Gazeti la Raia mwema limeandika habari inayosema "Bunge lapitisha muswada wa kuwalinda polisi wasishitakwe wakati wanajua bunge halijapitisha sheria ya aina hiyo.



20220209_064655.jpg
 
Spika wa bunge Dk Tulia Ackson amesema gazeti la Raia mwema ni wapotoshaji wakubwa wa habari hapa nchini baada ya kutoa habari mfululizo za kulishambulia bunge ,Sabaya na Makonda bila ushahidi na sababu zozote....
Hicho kipeperushi siku hizi anakiendesha KUBENEA.

Sasa tangu lini KUBENEA akawa mtu serious.

Yeye siku zote anauza UZUSHI na UNAFIKI.

Na Mara nyingi huwa SHUTUMA zake anazichongachonga kwa kuwahusisha TISS kwasababu anajua hawawezi KUJIBU.
 
Spika wa bunge Dk Tulia Ackson amesema gazeti la Raia mwema ni wapotoshaji wakubwa wa habari hapa nchini baada ya kutoa habari mfululizo za kulishambulia bunge ,Sabaya na Makonda bila ushahidi na sababu zozote...
Je, yeye Tulia alishinda ubunge kihalali kule Mbeya mjini?

Tuanzie hapo..
 
Spika wa bunge Dk Tulia Ackson amesema gazeti la Raia mwema ni wapotoshaji wakubwa wa habari hapa nchini baada ya kutoa habari mfululizo za kulishambulia bunge ,Sabaya na Makonda bila ushahidi na sababu zozote...
Hivi analikumbuka gazeti la Musiba huyu kweli..!?
 
Spika wa bunge Dkt. Tulia Ackson amesema gazeti la Raia Mwema ni wapotoshaji wakubwa wa habari hapa nchini baada ya kutoa habari mfululizo za kulishambulia Bunge ,Sabaya na Makonda bila ushahidi na sababu zozote...
Dr Tulia hebu dhihirisha uwongo wa Gazeti hili lisilo na woga wa kuandika contents

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Spika wa bunge Dkt. Tulia Ackson amesema gazeti la Raia Mwema ni wapotoshaji wakubwa wa habari hapa nchini baada ya kutoa habari mfululizo za kulishambulia Bunge ,Sabaya na Makonda bila ushahidi na sababu zozote...
Mbona kwenye gazeti hapo hiyo habari hatuioni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inferiority complex itamfanya awe mbaya kuliko Ndugai.

Kila mara atakuwa ni muoga kukosolewa akidhani haheshimiwi ipasavyo na haya ndio madhara ya kupata wadhifa kwa zali la mentali
 
Kazi ya magazeti na vyombo vingine vya habari ni pamoja na kurusha jiwe gizani hasa pale ambapo kuna mazingira ya sintofahamu au tetesi fulani ili wahusike waje waeleze ukweli ulivyo.

Mkitaka wahariri wathibitishe kila kitu hakuna habari itakayokuwa inaandikwa wala hakutakuwa na mijadala itakayokuwa inaibuliwa. Kwa maswala yanayogusa maslahi ya umma si vibaya waandishi wakarusha jiwe gizani ili mamlaka zijitokeze kutoa ufafanuzi.

Yeye afanye majukumu yake awaache waandishi nao watekeleze wajibu wao kwa jamii, au ndo mwendelezo wa kuingiliana mihimili alioanzisha hangaya.​
 
Tunajua bunge halijafanya chochote zaidi ya serikali kuona aibu baada ya tukio la Mtwara. Betina asitudanganye kwamba wao kama wabunge wa CCM kuna la maana wamefanya kuhusu hicho kifungu cha aibu.
Kama serkali ingeamua hayo marekebisho yaingie bungeni wasingekuwa na ubavu wa kuyakataa.Kwa mdomo wake alishasema mihimili wa utawala ni mkubwa kuliko wake na wa mahakama.
 
Back
Top Bottom