eliasmisinzo
JF-Expert Member
- Aug 13, 2021
- 1,259
- 1,321
Jiwe gizani la gazeti la UHURU: Mwaka 2025 Rais Samia hagombei Urais. Gazeti likapigwa rungu siku 6.Kuna jiwe lilirushwa gizani kwenye gazeti la uhuru hadi wakapewa adhabu ya kufungiwa, chezea jiwe gizani wewe..............
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app