Nmenukuu alichosema zaman hizo yupo kwenye kitiNdugai yuko wapi?
Nauliza jimbo la Ndugai lipo wazi nini?Nmenukuu alichosema zaman hizo yupo kwenye kiti
Hakuna kitu wanatafuta namna ya kutesa watanzaniaTunajua bunge halijafanya chochote zaidi ya serikali kuona aibu baada ya tukio la Mtwara. Asitudanganye kwamba wao kama wabunge wa ccm kuna la maana wamefanya kuhusu hicho kifungu cha aibu.
Hicho kipeperushi siku hizi anakiendesha KUBENEA.Spika wa bunge Dk Tulia Ackson amesema gazeti la Raia mwema ni wapotoshaji wakubwa wa habari hapa nchini baada ya kutoa habari mfululizo za kulishambulia bunge ,Sabaya na Makonda bila ushahidi na sababu zozote....
Je, yeye Tulia alishinda ubunge kihalali kule Mbeya mjini?Spika wa bunge Dk Tulia Ackson amesema gazeti la Raia mwema ni wapotoshaji wakubwa wa habari hapa nchini baada ya kutoa habari mfululizo za kulishambulia bunge ,Sabaya na Makonda bila ushahidi na sababu zozote...
Hivi analikumbuka gazeti la Musiba huyu kweli..!?Spika wa bunge Dk Tulia Ackson amesema gazeti la Raia mwema ni wapotoshaji wakubwa wa habari hapa nchini baada ya kutoa habari mfululizo za kulishambulia bunge ,Sabaya na Makonda bila ushahidi na sababu zozote...
Dr Tulia hebu dhihirisha uwongo wa Gazeti hili lisilo na woga wa kuandika contentsSpika wa bunge Dkt. Tulia Ackson amesema gazeti la Raia Mwema ni wapotoshaji wakubwa wa habari hapa nchini baada ya kutoa habari mfululizo za kulishambulia Bunge ,Sabaya na Makonda bila ushahidi na sababu zozote...
Mbona kwenye gazeti hapo hiyo habari hatuioniSpika wa bunge Dkt. Tulia Ackson amesema gazeti la Raia Mwema ni wapotoshaji wakubwa wa habari hapa nchini baada ya kutoa habari mfululizo za kulishambulia Bunge ,Sabaya na Makonda bila ushahidi na sababu zozote...
Kama serkali ingeamua hayo marekebisho yaingie bungeni wasingekuwa na ubavu wa kuyakataa.Kwa mdomo wake alishasema mihimili wa utawala ni mkubwa kuliko wake na wa mahakama.Tunajua bunge halijafanya chochote zaidi ya serikali kuona aibu baada ya tukio la Mtwara. Betina asitudanganye kwamba wao kama wabunge wa CCM kuna la maana wamefanya kuhusu hicho kifungu cha aibu.