Spika Dkt. Tulia usijisahaulishe; Novemba ilee, tunasubiri mjadala wa wazi na huru Ripoti ya CAG

Spika Dkt. Tulia usijisahaulishe; Novemba ilee, tunasubiri mjadala wa wazi na huru Ripoti ya CAG

Dk. Tulia Acson katika kuwanyamazisha badhi ya wabunge wazalendo ambao waliguswa kwa namna moja ama nyingine na Ripoti ile ya CAG, aliahidi kuwepo na mjadala kuihusu mnamo mwezi ujao kwa maana ya mwezi Novemba katika Mkutano wa Bunge.
Ngoja nikueleze kitu mkuu 'Burkinabe', au nikukumbushe tu kama umesahau.

Hiyo ni mbinu ya kutuliza mnkali.
Kama wakati ule kulikuwa na baadhi ya wabunge waliopata homa juu ya ripoti ile, homa yao ilishatulizwa kwa mbinu hiyo.

Kwa hiyo, hata kama hiyo ripoti ya CAG itawasilishwa kujadiliwa bungeni, usitegemee lolote la maana kutokana na mjadala huo. watatimiza tu wajibu wao wa kujadili na kupoteza muda.
 
Ngoja nikueleze kitu mkuu 'Burkinabe', au nikukumbushe tu kama umesahau.

Hiyo ni mbinu ya kutuliza mnkali.
Kama wakati ule kulikuwa na baadhi ya wabunge waliopata homa juu ya ripoti ile, homa yao ilishatulizwa kwa mbinu hiyo.

Kwa hiyo, hata kama hiyo ripoti ya CAG itawasilishwa kujadiliwa bungeni, usitegemee lolote la maana kutokana na mjadala huo. watatimiza tu wajibu wao wa kujadili na kupoteza muda.
Kweli Mkuu, kwa sababu wanawaona wengine ni wajinga, wao wajanja. Siyo?!
 
Back
Top Bottom