FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Pitia vizuri uzi.Utie neno kidogo Madam,
Maana Tulia, asije akajisahaulisha Mkutano ukapita hivi hivi....
Umechelewa jamvini karamu imeshaliwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pitia vizuri uzi.Utie neno kidogo Madam,
Maana Tulia, asije akajisahaulisha Mkutano ukapita hivi hivi....
Ngoja nikueleze kitu mkuu 'Burkinabe', au nikukumbushe tu kama umesahau.Dk. Tulia Acson katika kuwanyamazisha badhi ya wabunge wazalendo ambao waliguswa kwa namna moja ama nyingine na Ripoti ile ya CAG, aliahidi kuwepo na mjadala kuihusu mnamo mwezi ujao kwa maana ya mwezi Novemba katika Mkutano wa Bunge.
Kweli Mkuu, kwa sababu wanawaona wengine ni wajinga, wao wajanja. Siyo?!Ngoja nikueleze kitu mkuu 'Burkinabe', au nikukumbushe tu kama umesahau.
Hiyo ni mbinu ya kutuliza mnkali.
Kama wakati ule kulikuwa na baadhi ya wabunge waliopata homa juu ya ripoti ile, homa yao ilishatulizwa kwa mbinu hiyo.
Kwa hiyo, hata kama hiyo ripoti ya CAG itawasilishwa kujadiliwa bungeni, usitegemee lolote la maana kutokana na mjadala huo. watatimiza tu wajibu wao wa kujadili na kupoteza muda.
Watajikuta wao ndio wakiwa wajinga, baada ya muda kidogo.Kweli Mkuu, kwa sababu wanawaona wengine ni wajinga, wao wajanja. Siyo?!