Ameanza kuchungulia mwanya. Kuanzia sasa atakuwa anaongea ongea hata kwenye media ili mama amuone
Hapana, January amekwisha fanya kazi na wote hao hivyo nategemea atakuwa kwenye CABINET; lakini itambidi awe na heshima na adabu ya ziara, aache mambo ya kitoto asifikiri mambo anayofanya na hao wenzie watu wenye akili hawayajui!