Spika Ndugai aahirisha Bunge na kuwataka Wabunge kuzingatia masharti ya Serikali kuhusu afya zao pia madereva wao wasikimbie hovyo

Spika Ndugai aahirisha Bunge na kuwataka Wabunge kuzingatia masharti ya Serikali kuhusu afya zao pia madereva wao wasikimbie hovyo

Heeee! Mara hii tu wameahirisha tena? Gharama zote hizo za nini ni bora wakafanyia vikao hivyo ZOOM.
Mkuu yaani wafanye kikao kwa njia video conference, halafu hizo posho za kikao watapataje??

Nchi hii tamu eti 😀😀
 
Back
Top Bottom