Spika Ndugai ahoji shughuli za Serikali kurudi Dar, ataka kujua ni nani anayedhibiti matumizi ya Serikali kwa sasa

Acha wafu wazike wafu wao
 
Acha wafu wazike wafu wao
 
Nasikia mke wa yesu alikuwa ni mgogo kwenu studiooo
 
Spika ni kama unaingiwa na roho mtakatifu kwa sasa.
Bunge kazi yake ni kuisimamia serikali. Kama utasimama upande wa haki, haki itakuinua na kukuweka katika historia chanya
 
we jamaa hovyo sana. kwani issue mambo ya serikali kwenda au watu kulipana posho zisizo za msingi. hawa tuchukulie pesa zote za miradi zimepelekwa, kwa hiyo unataka kusema kitakachobakia wagane
Wagawane Ili iwaje? Hakuna pesa ya serikali inatoka hovyo wewe kima? Ukiona watu wamelipwa posho ujue ni Halali
 
Kwa kifupi Spika wa Bunge asiyefahamu ni nani anayehusika kusimamia matumizi ya serikali hastahili kuliongoza Bunge.
Labda kama huo ulikuwa ujumbe wa moja kwa moja kwa Raisi, kumwambia na yeye hayupo Dodoma.
 
Kwani siku zote hizo nani amekuwa akicontrol hayo matumizi ya serikali?
 
Alikuwa hajui mradi wa makao makuu Dodoma ni tembo mweupe anaye angamiza kodi za Watanzania? Angeishangaa sheria ya Makao makuu Dodoma ilivyopitishwa bungeni ili iende kuwa kaburi la kodi kabla ya kushangaa ile ya tozo ilivyopita.
Kwani kujenga Ikulu Dododma siyo halali?
Makao makuu si ni Dodoma ua?
 
Wagawane Ili iwaje? Hakuna pesa ya serikali inatoka hovyo wewe kima? Ukiona watu wamelipwa posho ujue ni Halali
wewe unaonekana una chet cha kuzaliwa tu si zaidi ya hapo. kwa hiyo hiyo unavyojua wewe pesa ya serikali inatoka bilacya kitengenezewa mazingira, hivi watu kama wote wapo dodoma alafu wanakuja dar tu kufanyavmkutano ni sawa. kwa wajinga kama nyinyi hata chizi anaweza kuwatawala
 
Ndo maana wanabana ajira mpya na kupandisha mishahara na madaraja kwa wakati, ili wabaki na pesa za kutosha kulipana posho na kufisadi hapa na pale......hii nchi ni kama imelaaniwa.
 
Kwani Job huyu ndiyo yule yule??
Tuanzie na matibabu yake ya gharama??
Yalisaidiaje madaktari hohehae wa nchi hii?? Yeye kwanini hakutibiwa hapo Benjamin??
Hebu apunguze UNAFIKI WAKE,
Huyu si alienda China, aliporudi akaupiga mwingi juu ya mradi wa Bagamoyo??

Aaache na wenziye waitafune nchi kama yeye!

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…