Spika Ndugai ahoji shughuli za Serikali kurudi Dar, ataka kujua ni nani anayedhibiti matumizi ya Serikali kwa sasa

Spika Ndugai ahoji shughuli za Serikali kurudi Dar, ataka kujua ni nani anayedhibiti matumizi ya Serikali kwa sasa

Uchumi wa soko sio centrallised kama wa Magu lazima serikali ifanye Kazi na sekta binafsi ikiwemo hizo makongamano kwenye kumbi binafsi kutanua mzunguko wa helaa.

Ndio maana hata ujenzi wa mji mkuu kwa sasa kuna kampuni binafsi na sio za serikali tuu.
Kuwekwa makampuni ni baada ya kushindwa vibaya kwa mfumo wa ' force account '.
 
Tutakuja kupata tu hizi habari. Hapa kwa mwendo huu, yatakuja kuibuka mazito ya upigaji ambao hatujawahi simuliwa wala kusikia.
Mikopo inaingi tarakimu ni trilions, walipaji ni sie ambao watoto wanasomea chini ya miti, mlo mmoja kwa siku si wa uhakika. Mkuu wa bunge hajui hata nani anadhibiti matumizi ya serikali! Aibu.
 
Spika wa bunge mh Job Ndugai leo wakati wa kuahirisha shughuli za Bunge, amewahoji mawaziri ni kwa nini kwa sasa wameamua kufanyia makongamano, warsha na semina nyingi Dar es Salaam na kuacha kufanyia Dodoma ambayo ni makao makuu ya nchi.

Ndugai ametaka kujua ni nani anayecontrol expanditure za serikali kwa sasa kwani kila mawaziri wanapofanya hizo safari za Dar wanalipana posho za kutisha pamoja na wasaidizi wao huku wakiwaacha wananchi masikini wakiwa hoi hoe hae bila huduma muhimu za jamii.

View attachment 1932327
Aelezwe kwamba watu wanafungasha kurudi Dar... yaani Dar ni kama Dar!!! Opportunity never come twice... awamu ya sita ya kurejea Dar.
 
wapumbavu kama nyinyi tatachelewa sana ubungo wako umejaa kamasi!
Siku zote huwa ana control nani? Tangu lini shughuli za serikali zilikoma kufanyika Dar? Ikulu iko wapi? Mabalozi na mahakamani zote ziko wapi?

Maofisi ya Wizara na taasisi zake zimeshahamia Dom? Airport iko Dom?

Acheni upumbavu,Mji wa serikali bado Sana kuwezesha shughuli zote za Serikali kwa sasa.
 
Ndugai anatuabisha sana watu wa kanda ya kati. Yaani baada ya yeye kulinajisi bunge sasa hajui hata kuwa kazi ya kudhibiti matumizi ya serikali ni ya bunge. Hovyo kabisa
 
Niko Morogoro Heka Heka Ni Kubwa Viongozi Kuhama Dodoma Naamini Soon Dodoma Itabaki Ukiwa
 
Hela zetu za kodi na tozo zinachezewa sana. Hii mambo ya posho na safari ni wizi mtupu. Serikali ipo ili kutumikia watu. Ukiona watu wanatengeneza schemes za kulipana posho badala ya kuwatumikia na kuwaletea maendeleo watu wake ujue kuna shida kubwa sana ndani ya serikali hiyo.
Haya mambo Magufuli ndio alikuwa hayataki 😎
 
Hayo matusi kwa serikali kuwa hakuna mdhibiti.....kweli PM anamuachia hivi hivi Ndugai.....dharau kisa aliewatisha hayupo....nchi lazima iendelee acheni unafiki
 
Spika wa bunge mh Job Ndugai leo wakati wa kuahirisha shughuli za Bunge, amewahoji mawaziri ni kwa nini kwa sasa wameamua kufanyia makongamano, warsha na semina nyingi Dar es Salaam na kuacha kufanyia Dodoma ambayo ni makao makuu ya nchi.

Ndugai ametaka kujua ni nani anayecontrol expanditure za serikali kwa sasa kwani kila mawaziri wanapofanya hizo safari za Dar wanalipana posho za kutisha pamoja na wasaidizi wao huku wakiwaacha wananchi masikini wakiwa hoi hoe hae bila huduma muhimu za jamii.

View attachment 1932327
Kama alihoji bila ya Unafiki, amehoji mambo muhimu sana. Lakini kama alihoji ili mradi tuu amehoji basi haina maana, maana kinachofahamima yeye pia ni mjumbe wa CC ya CCM.
 
Ummy mwalimu hiyo wizara haiwezi hajui anasimamia nini mara ajira zitolewe hivi mara vile saizi usishangae rushwa itakuwa kubwa sana kwenye ajira!
Uyu ummy mwalimu apelekwe wizara nyingine hii TAMISEMI imekua sio size yake analopoka Non-sense
 
Haya mambo ya kuonesha kwa nini kuhamishia Makao Makuu Dodoma ni makosa niliyasema tangu mpendwa Hayati JPM akiwa hai. Na alipona hoja zinamshinda akapiga mkwara wakati anazindua ujenzi wa fulaiova ya Hayati Kijazi Ubungo akisema, 'kama jambo haulipendi si unyamaze.'

Ukweli utabaki kuwa ukweli siku zote. Kufukia kodi za Watanzania Kwa kigezo cha Makao Makuu Dodoma ni ukengemfu. Ikiamliwa DSM iendelee kubakia kuwa Makao Makuu ya nchi hii leo. Na kukaingiwa gharama za maboresho, ukajengwa mji mpya wa kiserikali DSM na Ikulu mpya bado gharama hizi hazitafikia nusu ya gharama za kuifanya Dodoma kuwa na hadhi ya Makao Makuu.

Faida yake ni kubwa zaidi, DSM itaendelea kutoa kodi kubwa zaidi. Majengo mengi ya Mifuko ya kijamii yaliyo DSM na ya wadau wengine yatapata wapangaji, yange ongeza ajira, serikali itakusanya kodi kuliko sasa ambapo yako idol tu na ni hasara kwa serikali na walio fanya huu uwekezaji.
Kuna faida nyingi Sana za kuifanya Dodoma makao makuu ya nchi kwa vile hii limekwenda kuchangamsha uchumu wa Dodoma pamoja na mikoa ya jirani lkn pia imekua ni njia nzuri itakayotumika kubana matumizi ya Serikali huko mbeleni kwa sababu Kama viongozi wa idara mbalimbali za Serikali pamoja na Rais mwenyewe watakua Dodoma gharama za kusafiri kuja Dodoma Mara kwa Mara zitapungua kwa sababu Dodoma Ni makao makuu ya chama kwaio Rais lazima aje .
 
Mwenye akili ni wewe ambaye umeacha nyumba za serikali zilizo za idadi ya kuridhisha DSM unaenda Dodoma kupangishia wafanyakazi wa serikali kutapanya kodi kama huu si ujinga tuite nini labda?! Bado institution ya ndoa ambayo imejeruhiwa sana kwa maamuzi haya ya kuwahamishia watumishi wa umma Dodoma kwa kukurupuka. Dodoma ni mradi tu wakuwatafutia wakandarasi artificial soko sasa sijui mlikuwa na intrest gani huko kwenye biashara za ukandarasi.
Nasikitika kuishi Taifa moja na watu wenye mawazo duni Kama wewe
 
Back
Top Bottom