Spika Ndugai aishangaa Serikali Kutoshaurika

Spika Ndugai aishangaa Serikali Kutoshaurika

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Amesikika Mheshimiwa Ndugai akiwananga baadhi ya Mawaziri:

“Hata kwa jambo ambalo liko wazi tu lakini (waziri) haambiliki hayo tumeyaona lakini sidhani kama nyie mtakuwa sehemu ya hao. Wanadamu wenzako wakikushauri wakarudia tena tena jaribu kuchunguza,” amesema.

Hivi "wanadamu wenzake" kwa mukthadha wa bwana Ndugai wanaishia wapi?

Vipi yeye na kina Profesa Assad? Vipi wanaolia na katiba mpya? Vipi malalamiko mahakamani? Vipi malalamiko kulihusu jeshi la polisi?

Vipi wasiojulikana? Vipi malalamiko kuwahusu wabunge wasiokuwa na vyama? Vipi malalamiko ya wao kutokulipa kodi? Nk?

Angekuwa ni johnthebaptist kuhoji mustakabala wa dishi lake kwa hakika ilikuwa muhimu.

Ila sasa mambo mengine haya afanye kuku.

Source: Ndugai awakosoa mawaziri, ataka Bunge kutolaumiwa kwa kila jambo
 
Amesikika Mheshimiwa Ndugai akiwananga baadhi ya Mawaziri:

“Hata kwa jambo ambalo liko wazi tu lakini (waziri) haambiliki hayo tumeyaona lakini sidhani kama nyie mtakuwa sehemu ya hao. Wanadamu wenzako wakikushauri wakarudia tena tena jaribu kuchunguza,” amesema.

Hivi "wanadamu wenzake" kwa mukthadha wa bwana Ndugai wanaishia wapi?

Vipi yeye na kina Profesa Assad? Vipi wanaolia na katiba mpya? Vipi malalamiko mahakamani? Vipi malalamiko kulihusu jeshi la polisi?

Vipi wasiojulikana? Vipi malalamiko kuwahusu wabunge wasiokuwa na vyama? Vipi malalamiko ya wao kutokulipa kodi? Nk?

Angekuwa ni johnthebaptist kuhoji mustakabala wa dishi lake kwa hakika ilikuwa muhimu.

Ila sasa mambo mengine haya afanye kuku.

Source:

Ndugai awakosoa mawaziri, ataka Bunge kutolaumiwa kwa kila jambo
Anawashangaa na sisi tunamshangaa
 
Amesikika Mheshimiwa Ndugai akiwananga baadhi ya Mawaziri:

“Hata kwa jambo ambalo liko wazi tu lakini (waziri) haambiliki hayo tumeyaona lakini sidhani kama nyie mtakuwa sehemu ya hao. Wanadamu wenzako wakikushauri wakarudia tena tena jaribu kuchunguza,” amesema.

Hivi "wanadamu wenzake" kwa mukthadha wa bwana Ndugai wanaishia wapi?

Vipi yeye na kina Profesa Assad? Vipi wanaolia na katiba mpya? Vipi malalamiko mahakamani? Vipi malalamiko kulihusu jeshi la polisi?

Vipi wasiojulikana? Vipi malalamiko kuwahusu wabunge wasiokuwa na vyama? Vipi malalamiko ya wao kutokulipa kodi? Nk?

Angekuwa ni johnthebaptist kuhoji mustakabala wa dishi lake kwa hakika ilikuwa muhimu.

Ila sasa mambo mengine haya afanye kuku.

Source:

Ndugai awakosoa mawaziri, ataka Bunge kutolaumiwa kwa kila jambo

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] k*** make ndiyo comment yangu
 
Back
Top Bottom