Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Ndugai ni mtaa wa ZUZU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] k*** make ndiyo comment yangu
Mchungaji kapigwa kondoo wana tawanyika. Mkono wa Mungu una kishindo kikuu. Bado tutaona na kusikia mengi.Amesikika Mheshimiwa Ndugai akiwananga baadhi ya Mawaziri:
“Hata kwa jambo ambalo liko wazi tu lakini (waziri) haambiliki hayo tumeyaona lakini sidhani kama nyie mtakuwa sehemu ya hao. Wanadamu wenzako wakikushauri wakarudia tena tena jaribu kuchunguza,” amesema.
Hivi "wanadamu wenzake" kwa mukthadha wa bwana Ndugai wanaishia wapi?
Vipi yeye na kina Profesa Assad? Vipi wanaolia na katiba mpya? Vipi malalamiko mahakamani? Vipi malalamiko kulihusu jeshi la polisi?
Vipi wasiojulikana? Vipi malalamiko kuwahusu wabunge wasiokuwa na vyama? Vipi malalamiko ya wao kutokulipa kodi? Nk?
Angekuwa ni johnthebaptist kuhoji mustakabala wa dishi lake kwa hakika ilikuwa muhimu.
Ila sasa mambo mengine haya afanye kuku.
Source:
Ndugai awakosoa mawaziri, ataka Bunge kutolaumiwa kwa kila jambo
Sisi tunamshangaa yeye Job Yustina Ndugai kuendelea kuwakingia kifua wabunge ambao wametimuliwa na chama chao.Amesikika Mheshimiwa Ndugai akiwananga baadhi ya Mawaziri:
“Hata kwa jambo ambalo liko wazi tu lakini (waziri) haambiliki hayo tumeyaona lakini sidhani kama nyie mtakuwa sehemu ya hao. Wanadamu wenzako wakikushauri wakarudia tena tena jaribu kuchunguza,” amesema.
Hivi "wanadamu wenzake" kwa mukthadha wa bwana Ndugai wanaishia wapi?
Vipi yeye na kina Profesa Assad? Vipi wanaolia na katiba mpya? Vipi malalamiko mahakamani? Vipi malalamiko kulihusu jeshi la polisi?
Vipi wasiojulikana? Vipi malalamiko kuwahusu wabunge wasiokuwa na vyama? Vipi malalamiko ya wao kutokulipa kodi? Nk?
Angekuwa ni johnthebaptist kuhoji mustakabala wa dishi lake kwa hakika ilikuwa muhimu.
Ila sasa mambo mengine haya afanye kuku.
Source:
Ndugai awakosoa mawaziri, ataka Bunge kutolaumiwa kwa kila jambo
Amesikika Mheshimiwa Ndugai akiwananga baadhi ya Mawaziri:
“Hata kwa jambo ambalo liko wazi tu lakini (waziri) haambiliki hayo tumeyaona lakini sidhani kama nyie mtakuwa sehemu ya hao. Wanadamu wenzako wakikushauri wakarudia tena tena jaribu kuchunguza,” amesema.
Hivi "wanadamu wenzake" kwa mukthadha wa bwana Ndugai wanaishia wapi?
Vipi yeye na kina Profesa Assad? Vipi wanaolia na katiba mpya? Vipi malalamiko mahakamani? Vipi malalamiko kulihusu jeshi la polisi?
Vipi wasiojulikana? Vipi malalamiko kuwahusu wabunge wasiokuwa na vyama? Vipi malalamiko ya wao kutokulipa kodi? Nk?
Angekuwa ni johnthebaptist kuhoji mustakabala wa dishi lake kwa hakika ilikuwa muhimu.
Ila sasa mambo mengine haya afanye kuku.
Source:
Ndugai awakosoa mawaziri, ataka Bunge kutolaumiwa kwa kila jambo
..bunge ndilo linalotoa baraka ya mambo yote yanayopendekezwa na serikali kutekelezwa.
..Spika anapolalamika kwamba mawaziri hawashauriki maana yake ni kwamba hajui wajibu na mamlaka ya bunge.
JPM ametusaidia kujua wanafiki wa taifa hili.
Kwani ameshapona? Maana waungwana wanasema chizi huwa haponi.Amesikika Mheshimiwa Ndugai akiwananga baadhi ya Mawaziri:
“Hata kwa jambo ambalo liko wazi tu lakini (waziri) haambiliki hayo tumeyaona lakini sidhani kama nyie mtakuwa sehemu ya hao. Wanadamu wenzako wakikushauri wakarudia tena tena jaribu kuchunguza,” amesema.
Hivi "wanadamu wenzake" kwa mukthadha wa bwana Ndugai wanaishia wapi?
Vipi yeye na kina Profesa Assad? Vipi wanaolia na katiba mpya? Vipi malalamiko mahakamani? Vipi malalamiko kulihusu jeshi la polisi?
Vipi wasiojulikana? Vipi malalamiko kuwahusu wabunge wasiokuwa na vyama? Vipi malalamiko ya wao kutokulipa kodi? Nk?
Angekuwa ni johnthebaptist kuhoji mustakabala wa dishi lake kwa hakika ilikuwa muhimu.
Ila sasa mambo mengine haya afanye kuku.
Source:
Ndugai awakosoa mawaziri, ataka Bunge kutolaumiwa kwa kila jambo
Kwani ameshapona? Maana waungwana wanasema chizi huwa haponi.View attachment 1994150