Spika Ndugai aishangaa Serikali Kutoshaurika

Spika Ndugai aishangaa Serikali Kutoshaurika

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] k*** make ndiyo comment yangu

Avatar yako tu ilikuwa ina mtosha sana kumtambulisha kuwa upuuzi upuuzi wewe huwa hulei 😁😁
 
Amesikika Mheshimiwa Ndugai akiwananga baadhi ya Mawaziri:

“Hata kwa jambo ambalo liko wazi tu lakini (waziri) haambiliki hayo tumeyaona lakini sidhani kama nyie mtakuwa sehemu ya hao. Wanadamu wenzako wakikushauri wakarudia tena tena jaribu kuchunguza,” amesema.

Hivi "wanadamu wenzake" kwa mukthadha wa bwana Ndugai wanaishia wapi?

Vipi yeye na kina Profesa Assad? Vipi wanaolia na katiba mpya? Vipi malalamiko mahakamani? Vipi malalamiko kulihusu jeshi la polisi?

Vipi wasiojulikana? Vipi malalamiko kuwahusu wabunge wasiokuwa na vyama? Vipi malalamiko ya wao kutokulipa kodi? Nk?

Angekuwa ni johnthebaptist kuhoji mustakabala wa dishi lake kwa hakika ilikuwa muhimu.

Ila sasa mambo mengine haya afanye kuku.

Source:

Ndugai awakosoa mawaziri, ataka Bunge kutolaumiwa kwa kila jambo
Mchungaji kapigwa kondoo wana tawanyika. Mkono wa Mungu una kishindo kikuu. Bado tutaona na kusikia mengi.
 
Wewe mtoa uzi utaweza kumudu bakora za huyo unayemtaja taja hapa? Anza kutembea na helment vinginevyo jiandae na stick na anagonga kichwa tu huyo uliyemtaja
 
Amesikika Mheshimiwa Ndugai akiwananga baadhi ya Mawaziri:

“Hata kwa jambo ambalo liko wazi tu lakini (waziri) haambiliki hayo tumeyaona lakini sidhani kama nyie mtakuwa sehemu ya hao. Wanadamu wenzako wakikushauri wakarudia tena tena jaribu kuchunguza,” amesema.

Hivi "wanadamu wenzake" kwa mukthadha wa bwana Ndugai wanaishia wapi?

Vipi yeye na kina Profesa Assad? Vipi wanaolia na katiba mpya? Vipi malalamiko mahakamani? Vipi malalamiko kulihusu jeshi la polisi?

Vipi wasiojulikana? Vipi malalamiko kuwahusu wabunge wasiokuwa na vyama? Vipi malalamiko ya wao kutokulipa kodi? Nk?

Angekuwa ni johnthebaptist kuhoji mustakabala wa dishi lake kwa hakika ilikuwa muhimu.

Ila sasa mambo mengine haya afanye kuku.

Source:

Ndugai awakosoa mawaziri, ataka Bunge kutolaumiwa kwa kila jambo
Sisi tunamshangaa yeye Job Yustina Ndugai kuendelea kuwakingia kifua wabunge ambao wametimuliwa na chama chao.

Huo ni ujuha of the highest order
 
Amesikika Mheshimiwa Ndugai akiwananga baadhi ya Mawaziri:

“Hata kwa jambo ambalo liko wazi tu lakini (waziri) haambiliki hayo tumeyaona lakini sidhani kama nyie mtakuwa sehemu ya hao. Wanadamu wenzako wakikushauri wakarudia tena tena jaribu kuchunguza,” amesema.

Hivi "wanadamu wenzake" kwa mukthadha wa bwana Ndugai wanaishia wapi?

Vipi yeye na kina Profesa Assad? Vipi wanaolia na katiba mpya? Vipi malalamiko mahakamani? Vipi malalamiko kulihusu jeshi la polisi?

Vipi wasiojulikana? Vipi malalamiko kuwahusu wabunge wasiokuwa na vyama? Vipi malalamiko ya wao kutokulipa kodi? Nk?

Angekuwa ni johnthebaptist kuhoji mustakabala wa dishi lake kwa hakika ilikuwa muhimu.

Ila sasa mambo mengine haya afanye kuku.

Source:

Ndugai awakosoa mawaziri, ataka Bunge kutolaumiwa kwa kila jambo

..bunge ndilo linalotoa baraka ya mambo yote yanayopendekezwa na serikali kutekelezwa.

..Spika anapolalamika kwamba mawaziri hawashauriki maana yake ni kwamba hajui wajibu na mamlaka ya bunge.
 
..bunge ndilo linalotoa baraka ya mambo yote yanayopendekezwa na serikali kutekelezwa.

..Spika anapolalamika kwamba mawaziri hawashauriki maana yake ni kwamba hajui wajibu na mamlaka ya bunge.

Yule mwingine alisema kila kitu hewa. Itakuwa sahihi kusema dhwaifu. Maana si Siyani si Jobo kote kabisa.

"Dunia hii mama lukumba, lukumba."
 
Amesikika Mheshimiwa Ndugai akiwananga baadhi ya Mawaziri:

“Hata kwa jambo ambalo liko wazi tu lakini (waziri) haambiliki hayo tumeyaona lakini sidhani kama nyie mtakuwa sehemu ya hao. Wanadamu wenzako wakikushauri wakarudia tena tena jaribu kuchunguza,” amesema.

Hivi "wanadamu wenzake" kwa mukthadha wa bwana Ndugai wanaishia wapi?

Vipi yeye na kina Profesa Assad? Vipi wanaolia na katiba mpya? Vipi malalamiko mahakamani? Vipi malalamiko kulihusu jeshi la polisi?

Vipi wasiojulikana? Vipi malalamiko kuwahusu wabunge wasiokuwa na vyama? Vipi malalamiko ya wao kutokulipa kodi? Nk?

Angekuwa ni johnthebaptist kuhoji mustakabala wa dishi lake kwa hakika ilikuwa muhimu.

Ila sasa mambo mengine haya afanye kuku.

Source:

Ndugai awakosoa mawaziri, ataka Bunge kutolaumiwa kwa kila jambo
Kwani ameshapona? Maana waungwana wanasema chizi huwa haponi.
 
Back
Top Bottom