Spika Ndugai anapoonya ulevi wa madaraka wakati yeye yako juu ya katiba unamchukuliaje?

Spika Ndugai anapoonya ulevi wa madaraka wakati yeye yako juu ya katiba unamchukuliaje?

Big Eagle

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2020
Posts
592
Reaction score
625
Binafsi huwa simuelewi
Screenshot_2021-07-04-11-16-55.jpg
 
Huyu si huwa anachapa viboko wananchi.
Nikisikia mgeni rasmi huyu huwa natoka nje.
 
Nyani haoni kundule, wahenga walisema Ndugai liangazie kundulako kwanza
Umeniwahi kuandika huu msemo.

Niliposoma tu ujumbe, huo msemo ukanijia kwenye fikra.
 
Pale Baba ni mlevi anapo mkataza mtoto wake asiwe mlevi!
 
Hapo ni sawa na mlevi kumcheka mlevi mwenzake kwamba kazidisha ulevi....
 
Kavimbiwa
 
Nyani haoni kundule, wahenga walisema Ndugai liangazie kundulako kwanza
MUNGU ni MWEMA sana kwa Taifa hili na watu wake..Kwa hawa wenye kiburi kama huyu chizi anayeongoza bunge atatufanyia wepesi turudi kati tuanze upya.
 
Back
Top Bottom